mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,631
- 8,417
Waislam wameitaka serikali iilipe Dowans bil 94 haraka kwa sababu ni haki yao (dowans) kisheria. Nimeyasikia hayo radio free africa ktk uchambuzi wa gazeti la Dar leo saa 05:00pm.
Hivi RA ana mkono hadi kwa waislam?. Mbona wanamtetea?
Nawasilisha..
Ninaamini hao sio waislamu ninao wafahamu bali ni mtu au kikundi kinacho tumiwa na mafisadi tu
Ila ninacho jiuliza kwa nini wautumie uislamu kama Bangusilo la ufisadi
KUNANI?