Kapyungu A
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 3,499
- 3,168
Kumbuka kuna watu nasoma chuo kwa sababu baba au mama ni mkali nyumbania na kamwambia lazima asome. Tunategemea mtu kutoka chuo asome huku akitegemea kuwa kuna ma milioni ya watanzania yana mtegema kwa nyuma