Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,146
- 190,618
1.Binafsi simpendi mwanamke mchoyo wa maku ambaye anaona kukupa raha kama usumbufu mpaka atapojiskia yeye. Au muda una mzuka anakufukuza "ah bwanae nawe unataka kila saa, ebu niache uko".
Hii tabia inaboa sana na ntachepuka kadri ya uwezo wangu kama utanletea style hii!
2.Dharau na kejeli, ukijifanya mjuaji mapema tu tutashindwana. Kila unachoambiwa unajitia Ukawa. Raha ya mwanamke awe msikivu na mwelewa (hekima).
Ni hayo tu kwa leo.
Hii tabia inaboa sana na ntachepuka kadri ya uwezo wangu kama utanletea style hii!
2.Dharau na kejeli, ukijifanya mjuaji mapema tu tutashindwana. Kila unachoambiwa unajitia Ukawa. Raha ya mwanamke awe msikivu na mwelewa (hekima).
Ni hayo tu kwa leo.


