jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,584
hahahahhaha Mkuu mbavu zangu jaman. tutaongea lakini pembeni kabla hujaanza kazi najua hatutashindwana loooh masharti magumu sana hayaNikipandishwa cheo ndo nitakuwa tishio zaidi ogopa sana , siwezi kuchekelea uzembe wowote utakaofanyika hata ukisema mtu ni shemeji/ rafiki/ ndugu inabidi aje na kitambulisho cha undugu.