Baadhi ya mahitaji ya mume

Baadhi ya mahitaji ya mume

Shem namtaka twin wako. Kila kitu mfanane ikiwezekana awe jirani yako ili siku tukiibuka via via tuwe wote
hahahahahhahahaha umeonaeeee, nita msomesha tu usijali.

mimi ni chocolate color, wewe unapenda mweupe kidogo eeeeh, jst asking
 
Asante tumekusikia..

Ila ujue kuwa mapenzi ni Two Way Traffic.

Usitegemee kutoshelezwa na mke kama wewe humtoshelezi.

Usitegemee heshima kama wewe humheshimu, heshima ni kupeana.

Ukitaka mkeo akufanyie mambo mazuri, anza wewe kumfanyia, she'll reply back.

Tabia ya nafsi ni kumpenda yule anayeifanyia mema.
Tunafahamu kama Mapenzi ni Two way Traffic ila ndoa ni kitu kingine, usione watu tupo kwenye ndoa ambazo zipo kimyaa ukadhani humo ndani ya nyumba kuna Two way kwa kila jambo
Ukisema humuheshimu mumeo mpaka yeye nae awe anakuheshimu utagonga ukuta
 
hakuna kizuri km kuhudumia unayempenda...!!
kwa kila kitu yaani!

hua sichoki hata kidogo!!
 
Tunafahamu kama Mapenzi ni Two way Traffic ila ndoa ni kitu kingine, usione watu tupo kwenye ndoa ambazo zipo kimyaa ukadhani humo ndani ya nyumba kuna Two way kwa kila jambo
Ukisema humuheshimu mumeo mpaka yeye nae awe anakuheshimu utagonga ukuta
LadyAJ my wifi, yaan watu wengine hatuwezi kwa kweli. two way traffic lazima i apply la sivyo nikuumiza mioyo tu hapa.

i say no way kwa one way.
 
hahahahahhahahaha umeonaeeee, nita msomesha tu usijali.

mimi ni chocolate color, wewe unapenda mweupe kidogo eeeeh, jst asking

Exactly,..I will bless your intentions sister in law
 
LadyAJ my wifi, yaan watu wengine hatuwezi kwa kweli. two way traffic lazima i apply la sivyo nikuumiza mioyo tu hapa.

i say no way kwa one way.
Haya, subiri huo usawa mama, ila hautaupata kwa 100%
-Mwanaume atakurudia usiku wa manane,je na wewe uta i apply two way?
-Mawifi +mama mkwe watakusengenya- je uta apply two way na wewe uwasengenye uwachukie kamawanavyokuchukia?
-Mwanaume atakua na kauli mbovu mbovu juu yako, je uta i apply mama
*Ata cheat hadharani hasirani, je na wewe uta cheat?
Kuna vitu itakupasa ujishushe ili uifanye nyumba yako isiwe kaa la moto likaunguza wanao
 
Tunafahamu kama Mapenzi ni Two way Traffic ila ndoa ni kitu kingine, usione watu tupo kwenye ndoa ambazo zipo kimyaa ukadhani humo ndani ya nyumba kuna Two way kwa kila jambo
Ukisema humuheshimu mumeo mpaka yeye nae awe anakuheshimu utagonga ukuta
Kwani wewe umenielewaje bibie?
 
Haya, subiri huo usawa mama, ila hautaupata kwa 100%
-Mwanaume atakurudia usiku wa manane,je na wewe uta i apply two way?
-Mawifi +mama mkwe watakusengenya- je uta apply two way na wewe uwasengenye uwachukie kamawanavyokuchukia?
-Mwanaume atakua na kauli mbovu mbovu juu yako, je uta i apply mama
*Ata cheat hadharani hasirani, je na wewe uta cheat?
Kuna vitu itakupasa ujishushe ili uifanye nyumba yako isiwe kaa la moto likaunguza wanao
hivyo sitabishana nae ila anipende loooh, ki ukweli napenda kupendwa hivyo vingine vyote nitafunga macho. mawifi kunisengenya ni shida zao cause wameona nimewazidi. unajua mutu hawez poteza muda wake kukusema kama hajakukubali.

mie hivyo ni vitu vidogo tu ila mume anipende tu basi
 
Kwani wewe umenielewaje bibie?
Nimekuelewa kwamba eti mwanaume amtendee Wema mkewe ili mkewe amtendee Wema mumewe, iyo kitu Africa ni almost non applicable
Maana wanaume wa kiafrika wapo kwa ajilj ya kunyeyekewa na wake zao na si kunyeyekea wake zao ili wapate return ya kunyenyekewa too,
Hivyo basi mwanamke anatakiwa kuelewa yeye ni mtu pekee wa kuituliza familia yake kwa kujishusha kwenye baadhi ya mambo ili familia iende
 
Back
Top Bottom