Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,193
Ujikosesha na kujitikisha eeeh..nitabadilisha ili usipate shida ya matamshi.hahah sawa dady
oh sory daby.
I think I'm honered to be called dady


Ujikosesha na kujitikisha eeeh..nitabadilisha ili usipate shida ya matamshi.hahah sawa dady
oh sory daby.


Habari wana MMU?
Leo tuangalie baadhi ya mahitaji ya Mwanamme kutoka kwa mke/mpenzi wake.
1. Anahitaji kutoshelezwa ktk tendo la ndoa, (kushiba), kama unatumia sex kama adhabu na unavigezo na masharti kibao, huu muziki utakuwia mgumu.
2. Anakiu ya kula chakula cha mkewe (hata kama uko bize kama shetani, basi jitahidi hata mara chache basi)
3. Kuna baadhi ya shughuli hapendi kuona dada wa kazi anazifanya bali wewe, sio kwamba anataka akutumikishe, la hasha, anajisikia furaha kuwa served na mke wake. (Najua pia uko bize but you can do something)
4. Anataka kuona unavutia, sio kwasababu ameshakuoa basi unajiachia tu, huyo sio kakako, anahitaji kuvutiwa kingono, be sexy, hata kama unanyonyesha, jiweke atractive. (Sasa hapa pia mwanaume usiwe bahili kwenye kugharamia)
5. Anakiu ya kuiona heshima kutoka kwako, ukianza kuleta ushindani, majibizano na kusaka usawa itakula kwako mazima (hata kama mama yako alikuwa anafanya hivyo kwa baba yako)
6. Hata kama uwezo wake ni mdogo kuliko wewe, appreciate kile kidogo anachokiweza au anachokifanya
Haha...sweetheart hao waneshazeeka. Ngoja nikamchukue myweather na pank yao.![]()
baby na mimi nikodie kina nguvu mali basi wanilinde
Hao they will take me to the new world ,some where heavenHaha...sweetheart hao waneshazeeka. Ngoja nikamchukue myweather na pank yao.
Si wanakutosha eeeh

Hahaha...huyu analakeSTUNTER hajiamini. cjui ana shida gani ila nasikia Jonsina kajitolea sijui ana usalama na yeye? nadoubt supermarket njoo useme ukweli hapa
Nipo mkuu, nina uzoefu na hii kazi yangu![]()
baby na mimi nikodie kina nguvu mali basi wanilinde
Mie nataka qualified sio experienced guardNipo mkuu, nina uzoefu na hii kazi yangu
Hao they will take me to the new world ,some where heaven![]()
. Bongo ulinzi utashindikana tutahamia VEGASbasi tukalijenge.Ujikosesha na kujitikisha eeeh..nitabadilisha ili usipate shida ya matamshi.
I think I'm honered to be called dady![]()
Ok sawa mkuu, hope sijaqualifyMie nataka qualified sio experienced guard
Mkuu fufua uzi ninahamu ya kuchana aseeh leoNipo mkuu, nina uzoefu na hii kazi yangu
Ulinikimbia mkuu, nipo biz kdg muda huu mpk jioni nitakucheck niufufue uzi..andika kabisa kwenye daftari najua free style huweziMkuu fufua uzi ninahamu ya kuchana aseeh leo
hahahahahahahahaDaby usimchekee sana shem jje's.
Bwamdogo kuwa makini unapopita napaona, Mimi nalipwa kwenye hii kazi ya ulinzi siwezi kupoteza kibarua changu kwa uzembe
nimemfikiria sana ila mpaka sasa hajaleta madharaHahaha...huyu analake
Haha..eti siwezi. Haya poa.Ulinikimbia mkuu, nipo biz kdg muda huu mpk jioni nitakucheck niufufue uzi..andika kabisa kwenye daftari najua free style huwezi
Ebu twende zetu hivi achana nayenimemfikiria sana ila mpaka sasa hajaleta madhara
ewaaaa, mwendo wa via via sio? oooops nimesahau nikataja ila najaEbu twende zetu hivi achana naye
Anapafahamu hata!..?ewaaaa, mwendo wa via via sio? oooops nimesahau nikataja ila naja