Atoto wewe ni mchaga?wa wapiTuma pesa kwanza.
Sio kikubwa,laki2 tu.
Bora umefika mkuu, nitakuelezea historia yote mwanzo mwisho mpaka walivyoongea..kwa upande wangu ulinzi upo vizuri sema kuna jirani hapo wanataka kupeana rushwa ya laki2.
Aaàh, bro hatuaminiani tena. Umenipa binamu yako ananitosha bhna. atoto siunajua money monger! Anatafuta namna tu ya kuzichomoa
Wa Tanganyika.Atoto wewe ni mchaga?wa wapi![]()
Baba mtoto wangu anahusikaje hapo kwamfano!!
Siunataka kuchana kifurushi mi napasua simu sasa!Baba mtoto wangu anahusikaje hapo kwamfano!!
Binafsi nahitaji mwanamke msafi na mwaminifu, mwenye upendo wa kweli na mwenye kujali, mkarimu na mpole, mcha Mungu na mpenda familia. Hayo mengine ya kitandani ni mbwembwe tu maana hakuna chuo cha kujifunza.Habari wana MMU?
Leo tuangalie baadhi ya mahitaji ya Mwanamme kutoka kwa mke/mpenzi wake.
1. Anahitaji kutoshelezwa ktk tendo la ndoa, (kushiba), kama unatumia sex kama adhabu na unavigezo na masharti kibao, huu muziki utakuwia mgumu.
2. Anakiu ya kula chakula cha mkewe (hata kama uko bize kama shetani, basi jitahidi hata mara chache basi)
3. Kuna baadhi ya shughuli hapendi kuona dada wa kazi anazifanya bali wewe, sio kwamba anataka akutumikishe, la hasha, anajisikia furaha kuwa served na mke wake. (Najua pia uko bize but you can do something)
4. Anataka kuona unavutia, sio kwasababu ameshakuoa basi unajiachia tu, huyo sio kakako, anahitaji kuvutiwa kingono, be sexy, hata kama unanyonyesha, jiweke atractive. (Sasa hapa pia mwanaume usiwe bahili kwenye kugharamia)
5. Anakiu ya kuiona heshima kutoka kwako, ukianza kuleta ushindani, majibizano na kusaka usawa itakula kwako mazima (hata kama mama yako alikuwa anafanya hivyo kwa baba yako)
6. Hata kama uwezo wake ni mdogo kuliko wewe, appreciate kile kidogo anachokiweza au anachokifanya
Jitahidi, kuta ziko imara, utapasuka wewe.Siunataka kuchana kifurushi mi napasua simu sasa!
Good Job...!! supermarketDaby usimchekee sana shem jje's.
Bwamdogo kuwa makini unapopita napaona, Mimi nalipwa kwenye hii kazi ya ulinzi siwezi kupoteza kibarua changu kwa uzembe
Mithi youJitahidi, kuta ziko imara, utapasuka wewe.
Yani nani na nani wanataka kupeana hiyo hela?Bora umefika mkuu, nitakuelezea historia yote mwanzo mwisho mpaka walivyoongea..kwa upande wangu ulinzi upo vizuri sema kuna jirani hapo wanataka kupeana rushwa ya laki2.
Mithi yu mo!Mithi you
Mithi yu mo!

sasa mbona unatoa siri sasa? siku nyingine sikuambii tena.