Baadhi ya mahitaji ya mume

Baadhi ya mahitaji ya mume

usiamini mwingine yeyote niamin mimi.

nilifanya makusudi ili nijue wabaya wetu ni kina nani.

Wewe ni wangu tu usiwe na shaka yeyote.
Eti asiamini yeyote, STUNTER ameshasema ananiamini mimi kwa kazi nzuri.
Umefanya kusudi au ulitaka kufanya kweli, bahati nzuri intelijensia yangu imefanya kazi vizuri nikafichua uhalifu
 
Eti asiamini yeyote, STUNTER ameshasema ananiamini mimi kwa kazi nzuri.
Umefanya kusudi au ulitaka kufanya kweli, bahati nzuri intelijensia yangu imefanya kazi vizuri nikafichua uhalifu
hahahahahhaah mbona hukuleta evidence? hakuna kitu nimefanya makusudi tu na bae wangu kashaniamini jana uck tulikuwa tunaliongelea hili na tushaweka mambo sawa.

baki na u intelijensia wako sie twasonga.

BTW endelea maana nilimsikia anataka akupandishe cheo. Ile mwanzo kabla sijamweleza alikuwa anasema huyu jamaa anafaa sana nikajua mshahara utaongezeka.
 
hahahahahhaah mbona hukuleta evidence? hakuna kitu nimefanya makusudi tu na bae wangu kashaniamini jana uck tulikuwa tunaliongelea hili na tushaweka mambo sawa.

baki na u intelijensia wako sie twasonga.

BTW endelea maana nilimsikia anataka akupandishe cheo. Ile mwanzo kabla sijamweleza alikuwa anasema huyu jamaa anafaa sana nikajua mshahara utaongezeka.
Nikipandishwa cheo ndo nitakuwa tishio zaidi ogopa sana , siwezi kuchekelea uzembe wowote utakaofanyika hata ukisema mtu ni shemeji/ rafiki/ ndugu inabidi aje na kitambulisho cha undugu.
 
Back
Top Bottom