muxa
Senior Member
- Jun 6, 2016
- 195
- 160
dahDaah pengine Joooh yuko zake kwa mama mwenyenyumba wanapiga story.Maana nlisikia wamepatana sisi tunasubiri.
Afu Kumbe mama mwenyenyumba haoni mbali bwana.ile tym jooh anaona anakaziwa macho kumbe mama mwenyenyumba anasikitika haoni mbali..Joooh alikuwa hajui hili ni agustino tu alikuwa anajua.
#ila nawaza tu vipi kama jooohs simu yake imedondoka bahati mbaya na tachi imeharibika inafanya kazi kwenye emoji tu.Wabongo nnavyowaelewa hata story ikihadisiwa kwa emoji wataelewa tu maneno wanaweka wenyewe
Hatari sana chief, pale kwenye damu pame nipelekesha acha tu. Nilicheka sana alipofikia stage ya kusema anaubeba mwili bila kujali nani anamuangalia.Hii story ukisoma ukiwa umetuliza akili haswa unaweza jikuta ww msomaji ndo unayedata mana heka heka ni nyingi na haina mapumziko , yani bandua tatizo ongeza tatizo, wacha mtu amiliki chochote kile sitamwonea wivu mana sijui kapitia mangapi ,
Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
Inzi akikojolea hapo unabaki hivyo hivyo
Kama hujawahi pitia jambo gumu huwezi elewa yaaniHatari sana chief, pale kwenye damu pame nipelekesha acha tu. Nilicheka sana alipofikia stage ya kusema anaubeba mwili bila kujali nani anamuangalia.
Sent using Jamii Forums mobile app