sindesunde
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 358
- 346
Wewe Agustino mwambie huyu kabange mwenzio aendelee au wewe endeleza
Wewe Agustino mwambie huyu kabange mwenzio aendelee au wewe endeleza
Tayar soma juu hapo
Inzi akikojolea hapo unabaki hivyo hivyo
Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
We jamaa banaDaah pengine Joooh yuko zake kwa mama mwenyenyumba wanapiga story.Maana nlisikia wamepatana sisi tunasubiri.
Afu Kumbe mama mwenyenyumba haoni mbali bwana.ile tym jooh anaona anakaziwa macho kumbe mama mwenyenyumba anasikitika haoni mbali..Joooh alikuwa hajui hili ni agustino tu alikuwa anajua.
#ila nawaza tu vipi kama jooohs simu yake imedondoka bahati mbaya na tachi imeharibika inafanya kazi kwenye emoji tu.Wabongo nnavyowaelewa hata story ikihadisiwa kwa emoji wataelewa tu maneno wanaweka wenyewe
Mkuu wengine tulikua barabarani tayari
Ndio mkuu alipona ila mpaka leo hajui kama nilipitia yale majanga
Story si inaendelea mkuu?Ndio mkuu alipona ila mpaka leo hajui kama nilipitia yale majanga
Sent using Jamii Forums mobile app