Daah..kunakoeleeka huko kutamu..we jamaa andika hata usiogope au kutuhurumia wasomaji..usiruke kipengele..
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmmh
Hii stori inafundisha sana, kwa kijana aliyekata tamaa ya maisha katika utafutaji wa pesa halafu ana mawazo ya kwenda kwa mganga kutafuta utajiri stori hii itabadili mtazamo wake, haya mateso waliopata jamaa makubwa sana, mwisho wa siku Rafiki ameng'ata godoro huku jamaa mbegu zimepotea. Dah
Bora hiyo kazi ya kupanda mbegu wangemalizia kwa mganga maeneo yaleyale. Iwe rahisi kupata assistance ya mganga
Sent using Fly in any Weather.
Karibu inaendeleaYani m mvivu wa kusoma hadith hii umetisha,na yule jamaa alielezea alivyokutana na mke wake mmetisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari aseeHii story sasa hivi tamu usiku nitakaa roho juu kuogopa niliyoyasoma na hivi ukisoma unavuta picha kabisa mbona balaa hili.
Kivipi mkuu hivi jamii forum haina hati miliki kuwa mimi andiko langu linakuwa chini ya hii platform halafu wakicopy tunaenda kudai chetuIla story yako jiandae kuikuta kwenye yale magazeti ya wakina shigongo. Tumia technique kuandika ili mtu kwenda kipest iwe ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app