snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,709
- 23,644
nyumba kubwa nakukabidhi huyu dada najua kwako atakuwa mikono salama kabisa kumtoa hapo alipo kihisia,please!
Last edited by a moderator:
The Boss rafiki yangu i beg to differ with yu!huyu dada anazidi kujiumiza kwenye hii ndoa last time nilimwambia kuna wakati tunajitoa mno sadaka kwenye ndoa amabzo wakti mwingine wala they don worth it.\
But huyu mume ni kama 'kalogwa' vile
kumuacha tu badala ya kumsaidia?
si mke ni wa shida na raha?
kwa kweli ili aweze kumsaidia ni sharti atoke haponakubaliana na wewe
na mimi last time nilimwambia pia atazame life yake
so sisemi asimuache for now
ninachosema atazame namna ya kumsaidia baada ya kujiweka pembeni
kwanza ajitoe ili apate nafuu
pili atazame namna ya kumsaidia mwenzie...
usisahau na yeye keshasema anamuonea huruma mwenzie
so kwenye huruma,kuna upendo still....
na upendo ni kumsaidia mtu sio?
But huyu mume ni kama 'kalogwa' vile
kumuacha tu badala ya kumsaidia?
si mke ni wa shida na raha?
Got it men!Akifanya hivyo mwisho wa siku bado atabakia kuwa victim..atakuwa haja solve chochote Mr. Black dudu..utamuongezea matatizo tu.
Yap men!Dudu Jeusi lenye akili nyeusi!
na wewe njoo uzae na mimi ili umkomeshe na ulipe kisasi.
Ha ha ha ha ha ha!dudu jeusi + lonely heart? = nightmare !!!!
nimejiweka pembeni kabisa,Sitaki anisogelee kwani sina uhakika na afya yake,Na ninaendelea kutafuta jins ya kumsaidia kwani all in all ni mzazi mwenzangu,Na pia lazma nihakikishe mali zote nilizochuma naye zinabaki mikononi mwa wanangu.nakubaliana na wewe na mimi last time nilimwambia pia atazame life yake so sisemi asimuache for now ninachosema atazame namna ya kumsaidia baada ya kujiweka pembeni kwanza ajitoe ili apate nafuu pili atazame namna ya kumsaidia mwenzie... usisahau na yeye keshasema anamuonea huruma mwenzie so kwenye huruma,kuna upendo still.... na upendo ni kumsaidia mtu sio?
nimejiweka pembeni kabisa,Sitaki anisogelee kwani sina uhakika na afya yake,Na ninaendelea kutafuta jins ya kumsaidia kwani all in all ni mzazi mwenzangu,Na pia lazma nihakikishe mali zote nilizochuma naye zinabaki mikononi mwa wanangu.
kwa aina ya mume uliyenyae nina hofu kuwa haya maazimio yako hayatafanikiwa!nimejiweka pembeni kabisa,Sitaki anisogelee kwani sina uhakika na afya yake,Na ninaendelea kutafuta jins ya kumsaidia kwani all in all ni mzazi mwenzangu,Na pia lazma nihakikishe mali zote nilizochuma naye zinabaki mikononi mwa wanangu.
Kama nilivyowah kuwaeleza manyanyaso toka kwa mama mkwe na mawifi baada ya kukataa wasinitawale,Na hatimaye mume wangu akajiunga nao na kuninyanyasa nilipokua mjamzito na kunisababishia matatizo makubwa na kunipelekea kujifungua mtoto (boy)wa miez 7...na baada ya kujifungua mume wangu akahama chumba na kuninyima unyumba, nimefanya utafiti na kugundua MUME WANGU ANA MWANAMKE ALIYEZAA NAYE MTOTO(girl 1yr) na mwanamke huyo amemzidi mume wangu miaka 8 na anajumla ya watoto 4 kila mtoto na baba yake.na taarifa za kusikitisha ni kwamba mawifi zangu wanamshawishi mume wangu afumge naye ndoa ili wanikomoe. Namuonea huruma sana mume wangu,mimi na watoto wangu.Naombeni ushauri
Please leave as soon as possible Kama human kazi nu inbox Nitakuajiri .usinyanyasike na mwanaume duh pole sana .na Kama huna pa kwenda nitakutafutia pa kuka.yaani machozi ya nanitoka duh .dada HIV uOndoke mambo ya
usifikirie mali kwa sasa
ukijipanga waweza chuma zako upyaaa...