The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,063
- 115,462
sijui kwanini hili la mali huwa linatutoa sana roho wanawake ndoa inapofikia hatua hii!
wengi huwa tunasahau kuwa kwa hatua ilipofika kwa hiyo ndoa tayari huyo mwanaume ameshatunyang'anya zaidi ya mali
KUJITAMBUA!
na hakika hili ukilikosa hata uwe na mali kiasi gani huwa haziwezi kutusaidia
mali zitawafaa vipi watoto ambao wanakua katika familia iliyojaa udhalimu?
mali zitawafaa vipi watoto waliolelewa na mama aliye na low self esteem?
mali zitawafaa nini watoto waliozungukwa na ndugu wa baba wanaomuongelea na kumtusi mama yao?
hili la mali linasababisha wamama wengi 'wafe ole pole'
mali hizi ukichanganya na ndugu wenye tamaa na washirikina
ni bonge la kasheshe....
wamama mkiweza kusamehe mali basi mbona mtaweza kujikomboa