Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
he he he, inahusikaje??
Bora mpigie Werema aisee.
Bora mpigie Werema aisee.
Nampigia Anna makinda
Nampigia Anna makinda
Napenda pesa kufa naenda Mali .ila mume akininyanyasa naanza hata nguo sibebi.nina attitude inaitwa "I can do it ".
mpigie basi umsaidie ila asitoke kwake kwani alikuwa mchapa kazi sana walianza maisha ya chini sana, hadi leo wamejenga nyumba 2 na magari 3 wanamiliki. kama inawezekana huyu mume akaadabishwa na pia akafilisiwa kisha mkewe akapewa haki yake ingekuwa nzuri sana
yaaani mimi niko tofauti napenda hela and i never loose a single penny. to me cheza na mm utakavyo but not my money, not my hubby and not my kids.
mume afanye afafanyavyo mateso never hurt me but jasho langu milele nitalia nalo hadi tone la mwisho. ananijua na anasemaga pesa ya mpalestina inauma sana, na mm huwa namwambia ni nyoka tena wa vichwa saba.
Wewe mdada unataka tumdhalilishe kaka huyu bungeni.ni in box jina lake trust me Atakuwa funzo kwa wote .,Kama unataka tumwandike Kwenye gazeti sema Kama unataka afukuzwe kazi sema.kama unataka title yake sema .
aisee mm basi nafikir nina phd yake manake yote naweza kuvumilia but not ufujaji wa hela zangu na ukicheza tu imekula kwako..........hapa lazima watasema si kwasababu ni m-palestina yule!Yaani hapa Nina defensive class certificate.mwanaume akifanya mchezo tu
kazana na maombi watajirudi wote wewe ndo mshika upini
Napenda pesa kufa naenda Mali .ila mume akininyanyasa naanza hata nguo sibebi.nina attitude inaitwa "I can do it ".
Mungu amesema nimeluleta duniani uchague mazuri na mabaya.mungu kasema niite nitakuitikia,piga hodi nitakufungulia,asiyefanya kazi na asile.unalo hiloSerikali ya kichwa ya mumeo ishavurugwa msaada uliobaki kwako ni kufunga na kuomba kwa mungu tuu na mumeo atarudi kwenye hali yake ya kawaida
kwa msaada wa watu wa geneva! gfsonwin sema mama unataka afanhywajeeeeeeeee huyu simbilisi!Wewe mdada unataka tumdhalilishe kaka huyu bungeni.ni in box jina lake trust me Atakuwa funzo kwa wote .,Kama unataka tumwandike Kwenye gazeti sema Kama unataka afukuzwe kazi sema.kama unataka title yake sema .
Dada yangu sijui kwanini bado unaendelea kujifunga katika mateso, the only way i see for you ni kukaa pembeni nakujenga maisha yako. Unavyozidi kukaa karibu na huyo bwana ni kuendelea kujitesa wewe na wanao..........ondoka dada no matter how difficult it is, lakini utapata tu kupitia maombi kwa Mwenyezi Mungu
Unatia aibu kuleta mzaha katika mada serious kama hii. Na wewe pia tukuite Great Thinker au low thinker?Na wewe njoo uzae na mimi ili umkomeshe na ulipe kisasi.
Dada yangu sijui kwanini bado unaendelea kujifunga katika mateso, the only way i see for you ni kukaa pembeni nakujenga maisha yako. Unavyozidi kukaa karibu na huyo bwana ni kuendelea kujitesa wewe na wanao..........ondoka dada no matter how difficult it is, lakini utapata tu kupitia maombi kwa Mwenyezi Mungu
Kiruuuu na hizo hati unajua ziliko?mliandikaje? Yeuiiii yaan ipo siku unakuja kutolewa ndani ya nyumba ishauzwa tena na huyo mmama mpya....changamsha akili aiseeBaada ya kugundua kw kazaa nje ya ndoa na wakajua nitajua wakamshauri abadilishe hati za nyumba na magari kwa kuhofia nitamfilisi aandike jina la mwanangu mdogo wa kiume.