stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 18,905
- 14,674
Unapofika miaka 3, viungo vyote vya mwili hufika ukomo wa ukuaji hivo kila kitu kinaanza kurudi chini, mfano unachelewa kupona vidonda, dawa nyingi zinakukataa na maradhi huja mara kwa mara, kitakchokusaidia ni kama ulikua mtu wa mazoezi nyuma! kama ulikua na lifestyle nzuri ya mazoezi basi mwili wako hua katika kiwango cha juu sana cha metabolism
Ukifika miaka 35, unaanza kuporomoka lakini sio kutoka kiwango sawa na cha mtu ambae sio wa mazoezi! wewe unaaanza juu sana kukadiria mwili wako huchoka zaidi unapofika miaka 45 - 50 kama ulikua mtu wa mazoezi, lakini mda huo mtu wa kawaida huporomoka 50% mwili mzima, wengi kuvuka miaka 50 ni ngumu sana kwan mwili umeshachoka karibia nusu nzima, sehem zingine ukifika 60 basi unaachishwa kazi(kustaafu)
Ukifika miaka 35, unaanza kuporomoka lakini sio kutoka kiwango sawa na cha mtu ambae sio wa mazoezi! wewe unaaanza juu sana kukadiria mwili wako huchoka zaidi unapofika miaka 45 - 50 kama ulikua mtu wa mazoezi, lakini mda huo mtu wa kawaida huporomoka 50% mwili mzima, wengi kuvuka miaka 50 ni ngumu sana kwan mwili umeshachoka karibia nusu nzima, sehem zingine ukifika 60 basi unaachishwa kazi(kustaafu)
kwa wale ambao bado mko chini ya 40, fanya vyote ila mazoezi usisahau! naongea ivi kwa huzuni baada ya kushuhudia watu wana magonjwa ambayo hospitali wanasema hauna dawa, pia issue ya kisukari ni kubwa sana usisubiri mpaka magazeti yaanze kuandika
- stakehigh
- fanya mazoezi ujana
- Replies: 368
- Forum: Habari na Hoja mchanganyiko