Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,813
- 11,991
Siku chache baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai kuwa Barabara ya Goba - Mpakani, Dar Es Salaam ni mbovu na inawagharimu watumiaji hasa wakati wa Mvua, Serikali imechukua hatua ya kuanza maboresho.
Mdau alidai kuwa barabara hiyo haichongwi mara kwa mara na ina madimbwi mengi hivyo hata gharama za usafiri zimekuwa zikipandishwa kiholela.
Leo Mei 10, 2023 watendaji wameonekana wakichonga barabara hiyo kwa lengo la kuiweka sawa.
Soma >> Serikali isikie kilio cha Barabara ya Goba Mpakani, ruti zinabadilishwa, wanapandisha nauli kiholela
Mdau alidai kuwa barabara hiyo haichongwi mara kwa mara na ina madimbwi mengi hivyo hata gharama za usafiri zimekuwa zikipandishwa kiholela.
Leo Mei 10, 2023 watendaji wameonekana wakichonga barabara hiyo kwa lengo la kuiweka sawa.
Soma >> Serikali isikie kilio cha Barabara ya Goba Mpakani, ruti zinabadilishwa, wanapandisha nauli kiholela