Naja naja
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 747
- 1,452
Kwa jinsi hii shughuli ya msiba inavyoendeshwa inaonyesha wazi kuna mabilioni ya fedha yanapotea kwa kutumia mgongo wa kumzika kiheshima Rais Magufuli.
Kuna wengine bila shaka wanatumia fursa hii kupiga pesa, pesa ambazo kwa namna moja au nyingine zingesaidia mambo mengi mno MF madawa hospitalini, upanuzi wa barabara, mikopo kwa wanafunzi, mishahara nk.
Mh rais Magufuli enzi za uhai wake miongoni mwa vitu ambavyo alikuwa havipendi ni matumizi yasiyo ya lazima ya pesa ndio maana alikuwa mstari wa mbele kwenye kubana matumizi.
Hivyo basi si mbaya tukajua ni kiasi gani cha pesa kilichotumika kwenye mazishi yake.
Kuna wengine bila shaka wanatumia fursa hii kupiga pesa, pesa ambazo kwa namna moja au nyingine zingesaidia mambo mengi mno MF madawa hospitalini, upanuzi wa barabara, mikopo kwa wanafunzi, mishahara nk.
Mh rais Magufuli enzi za uhai wake miongoni mwa vitu ambavyo alikuwa havipendi ni matumizi yasiyo ya lazima ya pesa ndio maana alikuwa mstari wa mbele kwenye kubana matumizi.
Hivyo basi si mbaya tukajua ni kiasi gani cha pesa kilichotumika kwenye mazishi yake.