Baada ya Makubaliano na Kampuni za Gesi kukwama, Serikali yajipanga upya: Kiwanda cha LNG kuiletea Tanzania Tsh. 5,000,000,000,000 kwa mwaka.

Ngoja niwape watu darasa hapa kidogo kihusu LNG maana naona watu kama wanachuki na serikali wao wanakosoa tu. LNG ya TZ inategemewa kuwa kubwa kuliko ile ya mozambique. Kampuni ambazo zinategemea kujenga hiyo LNG ni pavilion, shell, exxon mobil, statoil na TPDC. makadirio ya gharama ni 30b usd. Kuna baadhi ya mambo ambayo tayari ya shafanyika au yanaendelea kufanyika. Mfano pre FEED- FRONT END ENGINEERING DESIGN ( kabla- pembuzi yakinifu) HGA- HOST GOVERNMENTAL AGREEMENT, site ishapatikana, pia serikali kupitia TPDC wametangaza tenda ya kuomba wataalam ili waje kuisadia serikali kwenye negotiation ya hii project na kupeleka baadhi ya officials wake nje kusomea negotiation ya LNG. serikali inafanya yote haya ili kukwepa makubaliano mabovu kama yaliofanyika nyuma. Hizo kampuni nilizotaja hapo juu pia kuna mambo ambayo zenyew kwa zenyewe pia inabidi zikubaliane lakini bado mpaka leo.
Sasa msikae hapa kupiga kelele kwa vitu msivovijua. Hii serikali ya JPM is the best ever in AFRICA. Sasa uwekezaji wa $30b mnataka ufanyike overnight?

Sent using Jamii Forums mobile app
nimekupata sante kwa uzalendo, mana pia ungeweza kutumia taaluma na ujuzi wako kutupotosha kama wafanyavyo hawa mafa.la wa ufipa wanatumia kigezo cha elimu zao za gpa za 32 kutupotosha hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimekupata sante kwa uzalendo, mana pia ungeweza kutumia taaluma na ujuzi wako kutupotosha kama wafanyavyo hawa mafa.la wa ufipa wanatumia kigezo cha elimu zao za gpa za 32 kutupotosha hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii industry naijua vizuri mkuu. Ukikurupuka watu watakuja kulia na kutokea kama yalioyokea kwenye madini. Serikali katika hili ipo makini sana. Imagine serikali mpaka imetangaza tender ya makampuni au watu wenye ujuzi waje kuisaidia serikali kwenye negotiation. Kwani serkali wangeshindwa ku negotiate.Tatizo watu wanapiga kelele kwenye vitu wasivyovijua. Mark my words mkuu hii serikali ipo makini japo watu wanaichukia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoto za Tanzania kupata Kiwanda cha Kuchakata Gesi (Liquefied Natural Gas) zinaweza kuchukua muda mrefu tofauti na matarajio ya hapo awali, kufuatia TPDC na Kampuni za Gesi kushindwa kukubaliana juu ya masharti yanayolinda mkataba katika Mpango kazi wa Makubaliano ya Kibiashara (CFA).

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Kapuulya Musomba, alisema kuwa, mchakato huo ulioanza mwaka uliopita bado haujafikia mwisho kutokana na kutokubaliana kati ya Serikali vs ya Kampuni za Gesi kwenye modality ya nani atafanya nini? Musomba alieleza kuwa, kwa sasa wanaangalia chanzo cha kutokubaliana kabla ya kuanza majadiliano upya.

Tanzania ina reserve ya gesi ipatayo trillion 57 cf. Baada ya Kiwanda cha LNG kukamilika, Tanzania inatarajiwa kuwa inapata mapato yatokanayo na mauzo ya gesi ya kiasi cha trilioni 5 kwa mwaka.

Kutokana na matumizi ya gesi inayopakiwa hapa nchini kati ya 2015 - 2017, imepelekea kuokoa zaidi ya 8,000,000,000,000 (trilioni 8).

View attachment 844884

View attachment 844824

MUSIBA KATIKA UBORA WAKE WA KUSAKA TONGE
HAHAAAA MWAKA HUU UTAPINDA SHINGO KWA KUITISHA PRESS CONF. LAKINI HATA UDIWANI HAUUPATI UNADAMU YA KUNGUNI MKUU
 
Ngoja niwape watu darasa hapa kidogo kihusu LNG maana naona watu kama wanachuki na serikali wao wanakosoa tu. LNG ya TZ inategemewa kuwa kubwa kuliko ile ya mozambique. Kampuni ambazo zinategemea kujenga hiyo LNG ni pavilion, shell, exxon mobil, statoil na TPDC. makadirio ya gharama ni 30b usd. Kuna baadhi ya mambo ambayo tayari ya shafanyika au yanaendelea kufanyika. Mfano pre FEED- FRONT END ENGINEERING DESIGN ( kabla- pembuzi yakinifu) HGA- HOST GOVERNMENTAL AGREEMENT, site ishapatikana, pia serikali kupitia TPDC wametangaza tenda ya kuomba wataalam ili waje kuisadia serikali kwenye negotiation ya hii project na kupeleka baadhi ya officials wake nje kusomea negotiation ya LNG. serikali inafanya yote haya ili kukwepa makubaliano mabovu kama yaliofanyika nyuma. Hizo kampuni nilizotaja hapo juu pia kuna mambo ambayo zenyew kwa zenyewe pia inabidi zikubaliane lakini bado mpaka leo.
Sasa msikae hapa kupiga kelele kwa vitu msivovijua. Hii serikali ya JPM is the best ever in AFRICA. Sasa uwekezaji wa $30b mnataka ufanyike overnight?

Sent using Jamii Forums mobile app

..kwanza nikupongeze kwa majibu yako mazuri na yenye kutia moyo.

..pili naomba ufafanuzi kuhusu madai yako kwamba mradi wa LNG wa Tanzania utakuwa mkubwa kuliko ule wa Msumbiji.

..vyanzo mbalimbali vya habari za masuala ya gesi vinaeleza kwamba Tanzania ina hazina ya gesi inayofikia 57 tfc, na ndugu zetu wa Msumbiji hazina yao ya gesi inakadiriwa kati ya 75 tcf mpaka 180 tcf.

..sasa katika mazingira hayo kwanini unadhani Tanzania ambayo ina 57 tcf itakuwa na mradi mkubwa wa LNG kuzidi Msumbiji yenye gesi kati ya 75 na 180 tcf?
 
Sielewi watu wanashangilia nini. Mazungumzo yamekwama, mnashangilia nini?

Yamekwama kwa sababu gani? Kwenye mikataba kama hii, terms zinazokubalika na soko zinafahamika. Huenda kukwama kumesababishwa na sisi kuja na masharti au matakwa yasiyokuwepo mahali popote duniani.

Nakumbuka mheshimiwa alipotoa majumuisho siku ile kwenye press ya Barrick na GoT, alisema makubaliano yale yataifanya Tanzania kuwa nchi ya kwanza kufanya mkataba kama ule. Na sasa tumeshuhudia, kweli tumeshuhudia maana tuliambiwa tutapata kodi zaidi ya dola bilion 400 halafu tukapata sifuri. Tukaambiwa tutapata kishika uchumba cha dola million 300, nayo ikageuka kuwa zero. Kwa nini sisi tusionekane kuwa wa pekee Duniani? Kweli tumekuwa wa pekee.

Kampuni ya gas iliyofanya discovery ya gas 2010 Mozambique inawekeza zaidi ya dola billion 20 Mozambique katika ujenzi wa plant ya liquidified gas lakini iliyogundua gas Tanzania mwaka 2007 inashindwa kuanza ujenzi wa kiwanda cha liquidified gas kutokana na mazingira kutokuwa rafiki.

Kama Taifa tunatakiwa kuwa realistic. Tukija na ndoto za ajabu, Dunia itatuacha tuendelee na mambo yetu ya ajabu, na wala Dunia haitasimama au kupungukiwa chochote kwa sababu ya kukosa gas au dhahabu ya Tanzania. Let us be realistic and logical in every decision we make.
Yale yale ya kwamba tunawadai wa makinikia, mara kishika uchumba ("bado tumeshikwa hadi leo"), Mara NOAH..
 
Exxon seeks to sell out of Tanzanian gas field - sources

Exxon Mobil is seeking buyers for its stake in a large undeveloped gas field off Tanzania, according to three banking and industry sources, as the company focuses on the development of an even bigger project in neighbouring Mozambique.REUTERS | June 08, 2018, 07:44 IST

London: Exxon Mobil is seeking buyers for its stake in a large undeveloped gas field off Tanzania, according to three banking and industry sources, as the company focuses on the development of an even bigger project in neighbouring Mozambique.

The planned sale is an example of Chief Executive Darren Woods' strategy of freeing up cash and narrowing the American firm's focus on a number of giant projects around the world deemed to have the best prospects, including in Mozambique, Guyana and U.S. shale.

Woods, who became CEO in January 2017 after predecessor Rex Tillerson retired and became U.S. secretary of state, has come under heavy pressure from investors over the past year to turn around the world's largest publicly-traded oil and gas company as its output and earnings sagged.

Exxon holds a 35 percent stake in Tanzania's deepwater Block 2 field that was discovered earlier this decade. It holds an estimated 23 trillion cubic feet of gas, according to the website of Norway's Equinor, which operates the block and holds a 65 percent stake.

The prospect has faced repeated delays in recent years due mainly to a lack of infrastructure and regulation for the country's nascent oil and gas sector, complicating any sale. The sources said the value of the asset was unclear due to early stage of development and uncertain future.

Exxon declined to comment.

A spokesman for Equinor declined to comment on the sale process. He said the company had not changed its plans in Tanzania.

Tanzania has moved down the priority list for Exxon after it acquired a 25 percent stake in the gas-rich Area 4 development offshore Mozambique $2.8 billion from Enilast year.

Area 4, holding an estimated 85 trillion cubic feet of gas, is one of the world's largest gas discoveries in recent years, and far bigger than the Tanzanian field. The project is also far more advanced - it is already under development and expected to start production in 2022.

Houston-based Exxon has also taken charge of the development of the liquefied natural gas plant at the site.

cc french , Kamundu, Mgambilwa ni mntu
 
Mpaka sasa mwekezaji akipewa leseni anapewa umiliki wa kitalu pamoja na madini/gesi iliyoppo chini ya ardhi. Hivyo inabidi sisi tununue toka kwake. Kwahiyo chini ya mikataba mipya kama hili halijabadilika hayo mazungumzo ni kutwanga maji kwenye kinu.
 
Ila kweli kamanda TUNGEWAACHA tu waendelee kutuibia ili watusifie kuwa TUNAHESHIMU SHERIA.
Peeeeeeeeoples!!!
Kwani mmeweza kuwazuia wasiendelee kutuibia? Bado wapo wanachimba na kuondoka na matofali ya dhahabu na misaada yao mnapokea. Akili ya mwana ccm ni kielelezo cha ujinga wa mtu mweusi!
 
Hii industry naijua vizuri mkuu. Ukikurupuka watu watakuja kulia na kutokea kama yalioyokea kwenye madini. Serikali katika hili ipo makini sana. Imagine serikali mpaka imetangaza tender ya makampuni au watu wenye ujuzi waje kuisaidia serikali kwenye negotiation. Kwani serkali wangeshindwa ku negotiate.Tatizo watu wanapiga kelele kwenye vitu wasivyovijua. Mark my words mkuu hii serikali ipo makini japo watu wanaichukia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ,hizo kampuni zitakazokuja kusaidia serikali kwenye majadiliano zinatoka wapi?sio kweli kwamba Tanzania hatuna wataaalmu bali kuna dhana potofu iliyopo kwamba watanzania ni wezi si wazalendo na walikuwa majizi.Kwa taarifa tu ni kwamba sheria zilizobadilishwa hazitaleta tija kwenye sekta bali zinaangamiza kabisa hata matumda yaliyoanza kujitokeze.JPM ana nia nzuri mno kuhusu rasilimali zetu bali kuna mahali ambapo waliomshauri hawakuwa wanajua hii sekta ndogo ya gesi na kwa hakika nasikitika sana JPM atamaliza miaka yake kumi na LNG haitakuwepo
 
Mpaka sasa mwekezaji akipewa leseni anapewa umiliki wa kitalu pamoja na madini/gesi iliyoppo chini ya ardhi. Hivyo inabidi sisi tununue toka kwake. Kwahiyo chini ya mikataba mipya kama hili halijabadilika hayo mazungumzo ni kutwanga maji kwenye kinu.
Mkuu hawa wawekezaji kwenye sekta kwa kuwa wanajua ndio wenye mitaji ya kuwekeza waameamua kutokuwekeza kabisa na usishangae wakaacha kufanya hivyo hadi sheria mpya iliyopitishea itakapofanyiwa marekebisho tena.
 
Nikiyaona ya serikali yng na nchi kwa ujumla naona akili ya yaliyojili yanga ndo hata kwenye serikali yetu yale yale ona waliopiga kelele manji anataka kujifaidisha yeye tu atuache na yanga yetu ndo hao hao wanaosema karibu baba simba inawauma manji kurudi tumeona kelele za madini wameitwa watu wezi wanyonyaji live stream zimetumika kamati mbali mbali za wataalamu sarakasi nyingi mwisho tunapata majibu mepesi sana tukitangaza wenye madeni watatudai wakati wenye kutulipa ndo wenye kutudai na tunaona kawaida siku zinaenda tatizo sio mzungu bali ni uongozi wetu wenyewe unaingia mikataba ya carl peters alafu kesho italeta maneno matupu wakati tushaumia na wao kumiliki majengo makubwa ya kifahari sana akuna mkataba mzuri hapo changa tu tunapigana watu wanatafuta ulaji tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ngoja niwape watu darasa hapa kidogo kihusu LNG maana naona watu kama wanachuki na serikali wao wanakosoa tu. LNG ya TZ inategemewa kuwa kubwa kuliko ile ya mozambique. Kampuni ambazo zinategemea kujenga hiyo LNG ni pavilion, shell, exxon mobil, statoil na TPDC. makadirio ya gharama ni 30b usd. Kuna baadhi ya mambo ambayo tayari ya shafanyika au yanaendelea kufanyika. Mfano pre FEED- FRONT END ENGINEERING DESIGN ( kabla- pembuzi yakinifu) HGA- HOST GOVERNMENTAL AGREEMENT, site ishapatikana, pia serikali kupitia TPDC wametangaza tenda ya kuomba wataalam ili waje kuisadia serikali kwenye negotiation ya hii project na kupeleka baadhi ya officials wake nje kusomea negotiation ya LNG. serikali inafanya yote haya ili kukwepa makubaliano mabovu kama yaliofanyika nyuma. Hizo kampuni nilizotaja hapo juu pia kuna mambo ambayo zenyew kwa zenyewe pia inabidi zikubaliane lakini bado mpaka leo.
Sasa msikae hapa kupiga kelele kwa vitu msivovijua. Hii serikali ya JPM is the best ever in AFRICA. Sasa uwekezaji wa $30b mnataka ufanyike overnight?

Sent using Jamii Forums mobile app

Nadhani sasa wamekuelewa kidogo.Ufafanuzi kuntu.
 
Kwani mmeweza kuwazuia wasiendelee kutuibia? Bado wapo wanachimba na kuondoka na matofali ya dhahabu na misaada yao mnapokea. Akili ya mwana ccm ni kielelezo cha ujinga wa mtu mweusi!
Kumbe bado wanakuja hata tusipoheshimu sheria?
 
Muhimu sana ni kutoingia mikataba mibovu na isiyo na exit clauses zinazo linda maslahi ya taifa.
Sawa ni muhimu kabisa kabisa lakini vile vile kuwa na mali isiyokupa fedha ni sawa na ZERO. Basi tuseme uchumi wa gesi kwa sasa siyo kipau mbele na wala siyo agenda ya kitaifa tupambane na Stigler Garage.
 
Nyie ndio mtaichelewesha sana Nchi na usikute wewe ni mpinzani namba moja anayelalamikia masuala ya rushwa lakini mkipata mtu anayedhibiti rushwa mnadai si kipaumbele na badala yake mbakimbilia kutetea wezi. Ile mikataba ya awali kati ya Serikali na Makampuni ya gesi unaifahamu?
Rushwa ipi unayoizungumzia hapa, kama unaweza kuhonga vyeo na fedha kwa wabunge na madiwani wakuunge mkono, hiyo rushwa unaidhibiti vipi
 
Back
Top Bottom