Baada ya Makubaliano na Kampuni za Gesi kukwama, Serikali yajipanga upya: Kiwanda cha LNG kuiletea Tanzania Tsh. 5,000,000,000,000 kwa mwaka.

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
May 30, 2017
2,869
3,188
Ndoto za Tanzania kupata Kiwanda cha Kuchakata Gesi (Liquefied Natural Gas) zinaweza kuchukua muda mrefu tofauti na matarajio ya hapo awali, kufuatia TPDC na Kampuni za Gesi kushindwa kukubaliana juu ya masharti yanayolinda mkataba katika Mpango kazi wa Makubaliano ya Kibiashara (CFA).

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Kapuulya Musomba, alisema kuwa, mchakato huo ulioanza mwaka uliopita bado haujafikia mwisho kutokana na kutokubaliana kati ya Serikali vs ya Kampuni za Gesi kwenye modality ya nani atafanya nini? Musomba alieleza kuwa, kwa sasa wanaangalia chanzo cha kutokubaliana kabla ya kuanza majadiliano upya.

Tanzania ina reserve ya gesi ipatayo trillion 57 cf. Baada ya Kiwanda cha LNG kukamilika, Tanzania inatarajiwa kuwa inapata mapato yatokanayo na mauzo ya gesi ya kiasi cha trilioni 5 kwa mwaka.

Kutokana na matumizi ya gesi inayopakiwa hapa nchini kati ya 2015 - 2017, imepelekea kuokoa zaidi ya 8,000,000,000,000 (trilioni 8).

IMG_6712.JPG


IMG_6701.JPG
 
Kikubwa tujiridhishe kwanza wenye gas wanauzaje ili nasi tuweze kuingia mkataba wenye TIJA kwa Nchi badala ile mikataba ya kipumbavu ya akina change na wenzake ambayo watu walikuwa wakiweka maslahi binafsi mbele badala ya ile ya Kitaifa. Timu ziwe zaidi ya 4 ili tuweze kupata mapato mazuri na kuondoa uwezekano wa 'makuwadi' kujipenyeza humo..
 
Ndoto za Tanzania kupata Kiwanda cha Kuchakata Gesi (Liquefied Natural Gas) zinaweza kuchukua muda mrefu tofauti na matarajio ya hapo awali, kufuatia TPDC na Kampuni za Gesi kushindwa kukubaliana juu ya masharti yanayolinda mkataba katika Mpango kazi wa Makubaliano ya Kibiashara (CFA).

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Kapuulya Musomba, alisema kuwa, mchakato huo ulioanza mwaka uliopita bado haujafikia mwisho kutokana na kutokubaliana kati ya Serikali vs ya Kampuni za Gesi kwenye modality ya nani atafanya nini? Musomba alieleza kuwa, kwa sasa wanaangalia chanzo cha kutokubaliana kabla ya kuanza majadiliano upya.

Tanzania ina reserve ya gesi ipatayo trillion 57 cf. Baada ya Kiwanda cha LNG kukamilika, Tanzania inatarajiwa kuwa inapata mapato yatokanayo na mauzo ya gesi ya kiasi cha trilioni 5 kwa mwaka.

Kutokana na matumizi ya gesi inayopakiwa hapa nchini kati ya 2015 - 2017, imepelekea kuokoa zaidi ya 8,000,000,000,000 (trilioni 8).

View attachment 844884

View attachment 844824
Hakutakuwa na LNG Tanzania hadi jiwe litakapoondoka. Kwa hiyo acheni kuota ndoto za mchana
 
Unaweza ukawa sahihi zaidi. Kujenga LNG Plant moja ni kama $30b, sasa mtu hawezi wekeza kwenye nchi ambayo mnaweza fanya amendment ya sheria zinazohusu mikataba bila kuhusisha wadau. Mtu anaona anakuwa insecure na investment anayotaka kuiweka. Make kama nchi huwezi kujenga hiyo plant, ni investors tu wanaoweza kufanya hilo. Tapping a gas offshore is a big project, make yale sio maji ya kisima, needs an investment from all displines like: geology,engineering, environments etc. Sasa mtu anaamka na kusema tunaibiwa and the next morning sheria zimebadilishwa, nani anaweza weka hela yake hapo. Lets wait.



Hakutakuwa na LNG Tanzania hadi jiwe litakapoondoka. Kwa hiyo acheni kuota ndoto za mchana
 
Ndoto za Tanzania kupata Kiwanda cha Kuchakata Gesi (Liquefied Natural Gas) zinaweza kuchukua muda mrefu tofauti na matarajio ya hapo awali, kufuatia TPDC na Kampuni za Gesi kushindwa kukubaliana juu ya masharti yanayolinda mkataba katika Mpango kazi wa Makubaliano ya Kibiashara (CFA).

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Kapuulya Musomba, alisema kuwa, mchakato huo ulioanza mwaka uliopita bado haujafikia mwisho kutokana na kutokubaliana kati ya Serikali vs ya Kampuni za Gesi kwenye modality ya nani atafanya nini? Musomba alieleza kuwa, kwa sasa wanaangalia chanzo cha kutokubaliana kabla ya kuanza majadiliano upya.

Tanzania ina reserve ya gesi ipatayo trillion 57 cf. Baada ya Kiwanda cha LNG kukamilika, Tanzania inatarajiwa kuwa inapata mapato yatokanayo na mauzo ya gesi ya kiasi cha trilioni 5 kwa mwaka.

Kutokana na matumizi ya gesi inayopakiwa hapa nchini kati ya 2015 - 2017, imepelekea kuokoa zaidi ya 8,000,000,000,000 (trilioni 8).

View attachment 844884

View attachment 844824
Fake News hata kuandika ni shida unacopy na kupaste utumbo mtupu.
Hakuna kiwanda kujengwa bila kuchimba na kupata gesi ya kutosha na kuijengea miundo mbinu hadi kiwandani.
Serikali ya Tanzania imewekeza kiasi gani na kwa namna gani?
Who own the oil field is the one to decide,do Tanzania goverment own any substantial share holding in gas oilfield?
Mozambique our neighbour have signed and sealed the LNG project construction it might not be eazy for Tanzania government to pulll win win agreement until when the circumstance changes for our own advantage.When, thats 1 million dollar question!!!!
 
Unaweza ukawa sahihi zaidi. Kujenga LNG Plant moja ni kama $30b, sasa mtu hawezi wekeza kwenye nchi ambayo mnaweza fanya amendment ya sheria zinazohusu mikataba bila kuhusisha wadau. Mtu anaona anakuwa insecure na investment anayotaka kuiweka. Make kama nchi huwezi kujenga hiyo plant, ni investors tu wanaoweza kufanya hilo. Tapping a gas offshore is a big project, make yale sio maji ya kisima, needs an investment from all displines like: geology,engineering, environments etc. Sasa mtu anaamka na kusema tunaibiwa and the next morning sheria zimebadilishwa, nani anaweza weka hela yake hapo. Lets wait.
Uko vizuri. Kwa mambi yetu ya hivyo hovyo kwa sasa hakuna LNG plant. Labda baadaye, Mungu akipenda.
 
Sielewi watu wanashangilia nini. Mazungumzo yamekwama, mnashangilia nini?

Yamekwama kwa sababu gani? Kwenye mikataba kama hii, terms zinazokubalika na soko zinafahamika. Huenda kukwama kumesababishwa na sisi kuja na masharti au matakwa yasiyokuwepo mahali popote duniani.

Nakumbuka mheshimiwa alipotoa majumuisho siku ile kwenye press ya Barrick na GoT, alisema makubaliano yale yataifanya Tanzania kuwa nchi ya kwanza kufanya mkataba kama ule. Na sasa tumeshuhudia, kweli tumeshuhudia maana tuliambiwa tutapata kodi zaidi ya dola bilion 400 halafu tukapata sifuri. Tukaambiwa tutapata kishika uchumba cha dola million 300, nayo ikageuka kuwa zero. Kwa nini sisi tusionekane kuwa wa pekee Duniani? Kweli tumekuwa wa pekee.

Kampuni ya gas iliyofanya discovery ya gas 2010 Mozambique inawekeza zaidi ya dola billion 20 Mozambique katika ujenzi wa plant ya liquidified gas lakini iliyogundua gas Tanzania mwaka 2007 inashindwa kuanza ujenzi wa kiwanda cha liquidified gas kutokana na mazingira kutokuwa rafiki.

Kama Taifa tunatakiwa kuwa realistic. Tukija na ndoto za ajabu, Dunia itatuacha tuendelee na mambo yetu ya ajabu, na wala Dunia haitasimama au kupungukiwa chochote kwa sababu ya kukosa gas au dhahabu ya Tanzania. Let us be realistic and logical in every decision we make.
 
Nawaza tu.......
"Nchi itagombanishwa yenyewe kwa yenyewe, Nchi bepari watakuja kusaidia kundi dhaifu lisilo na Dola, na baada ya hapo kundi hilo litaongoza dola, na hiyo nchi bepari itakuja kuisaidia nchi iliyotoka kwenye mnyukano kuwalinda na kuwasaidia na hiyo gesi itakuwa moja ya masharti ya kusaidiwa" Mwisho wa kuwaza, sasa sijui hii nchi ni ya wapi!!!!!
 
Unaweza ukawa sahihi zaidi. Kujenga LNG Plant moja ni kama $30b, sasa mtu hawezi wekeza kwenye nchi ambayo mnaweza fanya amendment ya sheria zinazohusu mikataba bila kuhusisha wadau. Mtu anaona anakuwa insecure na investment anayotaka kuiweka. Make kama nchi huwezi kujenga hiyo plant, ni investors tu wanaoweza kufanya hilo. Tapping a gas offshore is a big project, make yale sio maji ya kisima, needs an investment from all displines like: geology,engineering, environments etc. Sasa mtu anaamka na kusema tunaibiwa and the next morning sheria zimebadilishwa, nani anaweza weka hela yake hapo. Lets wait.
Umesoma hiyo article vzr na ukailewa lakin? Au unaongea na unachokifikiria wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoto za Tanzania kupata Kiwanda cha Kuchakata Gesi (Liquefied Natural Gas) zinaweza kuchukua muda mrefu tofauti na matarajio ya hapo awali, kufuatia TPDC na Kampuni za Gesi kushindwa kukubaliana juu ya masharti yanayolinda mkataba katika Mpango kazi wa Makubaliano ya Kibiashara (CFA).

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Kapuulya Musomba, alisema kuwa, mchakato huo ulioanza mwaka uliopita bado haujafikia mwisho kutokana na kutokubaliana kati ya Serikali vs ya Kampuni za Gesi kwenye modality ya nani atafanya nini? Musomba alieleza kuwa, kwa sasa wanaangalia chanzo cha kutokubaliana kabla ya kuanza majadiliano upya.

Tanzania ina reserve ya gesi ipatayo trillion 57 cf. Baada ya Kiwanda cha LNG kukamilika, Tanzania inatarajiwa kuwa inapata mapato yatokanayo na mauzo ya gesi ya kiasi cha trilioni 5 kwa mwaka.

Kutokana na matumizi ya gesi inayopakiwa hapa nchini kati ya 2015 - 2017, imepelekea kuokoa zaidi ya 8,000,000,000,000 (trilioni 8).

View attachment 844884

View attachment 844824
Ngoja niwape watu darasa hapa kidogo kihusu LNG maana naona watu kama wanachuki na serikali wao wanakosoa tu. LNG ya TZ inategemewa kuwa kubwa kuliko ile ya mozambique. Kampuni ambazo zinategemea kujenga hiyo LNG ni pavilion, shell, exxon mobil, statoil na TPDC. makadirio ya gharama ni 30b usd. Kuna baadhi ya mambo ambayo tayari ya shafanyika au yanaendelea kufanyika. Mfano pre FEED- FRONT END ENGINEERING DESIGN ( kabla- pembuzi yakinifu) HGA- HOST GOVERNMENTAL AGREEMENT, site ishapatikana, pia serikali kupitia TPDC wametangaza tenda ya kuomba wataalam ili waje kuisadia serikali kwenye negotiation ya hii project na kupeleka baadhi ya officials wake nje kusomea negotiation ya LNG. serikali inafanya yote haya ili kukwepa makubaliano mabovu kama yaliofanyika nyuma. Hizo kampuni nilizotaja hapo juu pia kuna mambo ambayo zenyew kwa zenyewe pia inabidi zikubaliane lakini bado mpaka leo.
Sasa msikae hapa kupiga kelele kwa vitu msivovijua. Hii serikali ya JPM is the best ever in AFRICA. Sasa uwekezaji wa $30b mnataka ufanyike overnight?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom