Baada ya Makubaliano na Kampuni za Gesi kukwama, Serikali yajipanga upya: Kiwanda cha LNG kuiletea Tanzania Tsh. 5,000,000,000,000 kwa mwaka.

Ngoja niwape watu darasa hapa kidogo kihusu LNG maana naona watu kama wanachuki na serikali wao wanakosoa tu. LNG ya TZ inategemewa kuwa kubwa kuliko ile ya mozambique. Kampuni ambazo zinategemea kujenga hiyo LNG ni pavilion, shell, exxon mobil, statoil na TPDC. makadirio ya gharama ni 30b usd. Kuna baadhi ya mambo ambayo tayari ya shafanyika au yanaendelea kufanyika. Mfano pre FEED- FRONT END ENGINEERING DESIGN ( kabla- pembuzi yakinifu) HGA- HOST GOVERNMENTAL AGREEMENT, site ishapatikana, pia serikali kupitia TPDC wametangaza tenda ya kuomba wataalam ili waje kuisadia serikali kwenye negotiation ya hii project na kupeleka baadhi ya officials wake nje kusomea negotiation ya LNG. serikali inafanya yote haya ili kukwepa makubaliano mabovu kama yaliofanyika nyuma. Hizo kampuni nilizotaja hapo juu pia kuna mambo ambayo zenyew kwa zenyewe pia inabidi zikubaliane lakini bado mpaka leo.
Sasa msikae hapa kupiga kelele kwa vitu msivovijua. Hii serikali ya JPM is the best ever in AFRICA. Sasa uwekezaji wa $30b mnataka ufanyike overnight?

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Mpiga Sound. Next time utafikiriwa walau U-DC.
 
Ni habari njema kwa mama Tanzania na Watanzania kwa ujumla. Tanzania kwanza UCHOCHEZI mwiko.
Ila hatuna ujanja tutakubali tuu hata kwa kampuni ingine kwa hasara kwa mfano wakisema watuachie sisi tutaifanya nini
 
Tanzania kwa sasa hakuna utawala unaoheshimu sheria hivyo hakuna mwekezaji mkubwa wa kuwekeza kwenye LNG. Labda wawekezaji wa viwanda vya cherehani nne, juice na maji. Hao mtawapata sana
You are right.

Mwekezaji yeyote makini, kabla ya kuwekeza unaangalia mazingira ya utawala wa nchi. Kama nchi inaongozwa kwa matamko ya watawala badala ya sheria, ni lazima uwe mjinga kuweka kitegauchumi chako katika nchi hiyo. Vitegauchumi hulindwa na sheria na siyo matamko ya watawala. Kazi ya watawala inatakiwa iwe kusimamia sheria.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza ukawa sahihi zaidi. Kujenga LNG Plant moja ni kama $30b, sasa mtu hawezi wekeza kwenye nchi ambayo mnaweza fanya amendment ya sheria zinazohusu mikataba bila kuhusisha wadau. Mtu anaona anakuwa insecure na investment anayotaka kuiweka. Make kama nchi huwezi kujenga hiyo plant, ni investors tu wanaoweza kufanya hilo. Tapping a gas offshore is a big project, make yale sio maji ya kisima, needs an investment from all displines like: geology,engineering, environments etc. Sasa mtu anaamka na kusema tunaibiwa and the next morning sheria zimebadilishwa, nani anaweza weka hela yake hapo. Lets wait.
Wenye kuinvest wenyewe wanakiri kuwa wanakuibia wewe unapinga kwa faida ya nani hasa . Basi resource zikae mpaka wenye akili wazaliwe
 
Unaweza ukawa sahihi zaidi. Kujenga LNG Plant moja ni kama $30b, sasa mtu hawezi wekeza kwenye nchi ambayo mnaweza fanya amendment ya sheria zinazohusu mikataba bila kuhusisha wadau. Mtu anaona anakuwa insecure na investment anayotaka kuiweka. Make kama nchi huwezi kujenga hiyo plant, ni investors tu wanaoweza kufanya hilo. Tapping a gas offshore is a big project, make yale sio maji ya kisima, needs an investment from all displines like: geology,engineering, environments etc. Sasa mtu anaamka na kusema tunaibiwa and the next morning sheria zimebadilishwa, nani anaweza weka hela yake hapo. Lets wait.
We wa wapi huyo mtu anakurupuka kwa ajili yake? TUJIONEE HURUMA . HIYO MIKATABA SI NI KWELI ILIKUWA YA KINYONYAJI? SASA KUKURUPUKA IKO WAPI? SEMATu walioafiki na hiyo mikataba hawakufanya utafiti wa kutosha. NDIO MAANA HATAA HAYO MAKAMPUNI WANAKUBALIANA KUBADILIKA ILI HAKI IENDEKE. HAKUNA ASIEKOSEA NA AKIJIGUNDUA ANAJIREKEBISHA. Ndio maana nao wanakubali pia pamoja kua walikuwa wanelewa ila KWA KUWA NI FAIDA KWAO WAKANYAMZA
 
Kuheshimu sheria zipi kamanda?
Zile tulizokuwa tukiwatangazia wananchi miaka yote kuwa ni mbovu? au kuna zingine?
Nazungumzia zile mlizopitisha bungeni na kisha kuweka marufuku mtu yoyote kuziona.
 
Kamanda vipi?
Sasa unajuaje hawaziheshimu wakati hata wewe mwananchi hujaziona?
Umesahau umlivyowapa Barick/Accasia migodi kwa sheria mlizotunga wenyewe kisha mkawageuka na kusema ni wezi wanawaibia wakati mliwapa wenyewe migodi?
 
Kuna makala niliisoma humu nahisi jinsi nchi za kiarabu zilivyofanikiwa kujinufaisha na Mafuta yao wenyewe

wanaajili kampuni za kuchimba wao then nchi ndo zinatafuta market kwenye faida wanazilipa zile kampuni na inayobaki wanaitumia nchi kwenye projects zao

Sielew kwann tusi apply hii kwenye gesi yetu


Coz tuna uhakika na gesi ipo,,ss ni kutangaza tenda kwa kampuni kuja kutuchimbia gesi na sio kuwauzia vitalu kwa miaka 50 sijui then watakaojitokeza tunachagua kampuni tunaingia nayo mkataba wa kituchimbia tuajilithen tunaiuza wenyewe

wao tutawalipa chao tunabaki na profit yetu kuliko kuwaruhusu wao ndo wauze ili watulipe hapo tutakua tunapigwa daily

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza ukawa sahihi zaidi. Kujenga LNG Plant moja ni kama $30b, sasa mtu hawezi wekeza kwenye nchi ambayo mnaweza fanya amendment ya sheria zinazohusu mikataba bila kuhusisha wadau. Mtu anaona anakuwa insecure na investment anayotaka kuiweka. Make kama nchi huwezi kujenga hiyo plant, ni investors tu wanaoweza kufanya hilo. Tapping a gas offshore is a big project, make yale sio maji ya kisima, needs an investment from all displines like: geology,engineering, environments etc. Sasa mtu anaamka na kusema tunaibiwa and the next morning sheria zimebadilishwa, nani anaweza weka hela yake hapo. Lets wait.
Hili ndio jibu la msingi, na pia ndio sababu tusitegemee kupata mwekezaji yeyote mkubwa nchi hii mpaka kipindi chake kitakapoisha..

Awamu ijayo tuletewe mfanyabiashara maana tutakuwa na miundombinu mizuri, umeme wa kutosha na huduma bora za kijamii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesahau umlivyowapa Barick/Accasia migodi kwa sheria mlizotunga wenyewe kisha mkawageuka na kusema ni wezi wanawaibia wakati mliwapa wenyewe migodi?
Ila kweli kamanda TUNGEWAACHA tu waendelee kutuibia ili watusifie kuwa TUNAHESHIMU SHERIA.
Peeeeeeeeoples!!!
 
Back
Top Bottom