Baada ya maboresho yao kurejea Nitahama rasmi CRDB

Baada ya maboresho yao kurejea Nitahama rasmi CRDB

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
11,327
Reaction score
24,356
Hela naitafuta kwa shida sana kuna muda nalala na viatu nalala sehemu mbaya halafu kidogo nacho nduduliza wahuni hawakithamini.

Hela yangu haiwezi nitesa jana sijalala kabisa hadi muda wa kufika kwenda job ukafika.

Siwezi elezea sana lakini hii bank HAPANA HAPANA HAPANA.

Mods tusipangiane mahala pa kupeleka uzi. Uachwe hapahapa.
 
Hamna bank hapa. Tokea jana nanunua umeme unakataa.
IMG_5956.jpeg
 
"Huduma Haipatikani kwasasa"

"Tumeshindwa kukamilisha ombi lako"
 
Watunze pesa zetu, siku tunaenda kuzichukua ziwe zimetimia
 
Ngoja upepo upoe, naenda kukomba kila kilicho changu narudi NBC, kitendo cha kutorespond Kwa vilio vya wateja ni dalili ya zereu mithili ya zile za sisiem!
 
Hivi huduma bado hazijarudi au? Juzi niliingia atm kabisa, baada ya kukumbuka nyuzi za humu nikaghairi kutoa hela!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom