Pole Mkuu vp huko wadau wanasemaje kuhusu Jembe letu
Hebu kafie mbali huko na ushakunaku wako, kwani nimekuomba unirekebishe?Siyo ball position ndgu ni ball possession, bt sorry!
Saa 3 asubuhi Nape, Makonda na Membe watakuwa on board kwenda mafichoni teh teh teh
yan acha tu, watu wana press tu ze ball yan, yan ni one touch one touch tu...tap, tap, tap, mara ndukiiiiiiiiiiiiii..........wayaaaaaaaaaaaa!!!Sio ball position tu, na goal 7-0.
Teh teh raha sana kwakweli hii siku ya leo nitaiandika katika diary kwa wino mwekundu!
Hahahaaaaa halafu kipa ni Kikwete beki ni Magufuli!yan acha tu, watu wana press tu ze ball yan, yan ni one touch one touch tu...tap, tap, tap, mara ndukiiiiiiiiiiiiii..........wayaaaaaaaaaaaa!!!
Ujue nimeshangaa kila nikimmention kama mara mbili hivi naona mauza uza, subiri nitakuita kwenye huo uzi niliochat nae.
uuuuuuuuuuwi, goli lipo wazi hilo.Hahahaaaaa halafu kipa ni Kikwete beki ni Magufuli!
Huu ni mwaka wa Lowassa, walijaribu kumzima lakini mzee wa maamuzi magumu kafanya yake.
Panapo ukweli uongo utajitenga tu, sipati picha hali ikoje Lumumba.
Magufuli ndio habari yote.
Tutajadili keshooo.karibu ndafu na gordons hapa.
Wengine tumeanzapiga nyumbazetu rangi zachadema
We mwenyekiti anaaapa kwaniyeye mjinga amwachelowassa na mamillion m ntakuwa mpumbavu kumpuuza mbowe
Mnaitaji mpakarangi mzuri we rangi zachama nipm