Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,713
Hata mi nilijua tu magamba wangempitisha ukawa wasingepata kitu mapema. Yule hata ka utafiti nilikofanya wengi walikua wana mwamini licha ya kuchafuliwa aisee
Ulikuwa ukijaribu kujichanganya na watu wa kawaida kabisa huko mtaani huwaelezi kitu kwa Lowassa..
Huu Mzee anapendwa bana..