Hahahaha hata me nimemsikia.Professor mmoja kutoka chuo kikuu! Alikuwa studio za BBC dar es salaam! Anaulizwa na Zuhura Yunus! Jamaa anaeleza kwa hisia za furaha mpaka hazifichiki! !!! Kwa kweli acha upepo wa siasa za Tz ubadilike kidogo! !!!
hata wewe nifah hahahaaa nimefurahi
Aisee jana nliblem saana ukawa, nlimblem saana mbowe, but leo nmemsikiliza mbowe kwa makini....
Nmekubali..
Mimi ile siku aliyokatwa nilishindwa hata kula daku!Nipo mwanza huku ni full sherehe kila kona Lowasa Lowasa wanasema alionewa sana
Huu ni mwaka wa Lowassa, walijaribu kumzima lakini mzee wa maamuzi magumu kafanya yake.Nimekuja kugundua Lowassa ana charisma ya ajabu anapendwa sana huyu jamaa alafu anasikilizwa ajabu.
Mimi ile siku aliyokatwa nilishindwa hata kula daku!
Kesho yake ndio nilishinda kitandani kwa kuuguli maumivu, balaa ni pale nilipokua nikiangalia tv naona Kikwete anacheka cheko ambalo ni kejeli kwa Lowassa!
Mungu wangu, sitaki kuikumbuka hii siku kabisa....
Hata hivyo sio kitu tena, asante Lowassa kwa kuirudisha furaha iliyokua imepotea.
Khaaaa! Hukubali kushindwa tu? Nipe credits zangu bwana!Karibu kwenye safari ya Uhakika sasa
Ishu ya EL kuhamia Chadema ni ya kitambo. Ina maana walikuwa hawajui km jamaa atahama?
Professor mmoja kutoka chuo kikuu! Alikuwa studio za BBC dar es salaam! Anaulizwa na Zuhura Yunus! Jamaa anaeleza kwa hisia za furaha mpaka hazifichiki! !!! Kwa kweli acha upepo wa siasa za Tz ubadilike kidogo! !!!
Nimekunywa DOMPO chupa tatu mpaka sasa sisikii kulewa! LOWASSA asante baba!