Lakini Lowassa si yuleyule au?Hahahaha wewe ulisema kupitia CCM.. Si unaona Mzee kaamua kuingia kwenye gari ya uhakika si ya matumaini tena
Uwiiiiiii jamani hii ni kali kuliko!Yaani niko uchi, rombo nje lirefu, naruka ruka, mamaaa kafurahiii sana leo yuko kwa wakwee...mm napiga konyagi, mbusi na nimedindaaaaaa...kwa furahaaaa na rahaaaaaaaaa..... hapa leo silaliiiiiii...sikai, sioni, sisikiiiiii, sielewi,... naona Tanzania mpyaaaaaaaaaa...alafu nacheza PEOPLEEEEESSSS POWER...
Hilo hilo na kafurahi sana mbona? Kuna ule uzi wa ujio wa Lowassa Chadema....kamcheki kule.Anatumia jina gani cmpati. Kumbe nae ashabatizwa na kuondolewa kunguni wa CCM
Acha yawarudie.Huyu mzee walitaka kumbania wakati huu mwaka ni wake.binafs kinacho nishangaza nimeshuhudia hapa korogwe wana ccm wanavyo shangilia inamaana ccm itaadhibiwa na wana ccm pia.
Lakini Lowassa si yuleyule au?
Lakini bado haibadili chochote. ..Lakini si kashuka kwenye Mbazi kapanda Kilimanjaro teh teh
Hilo hilo na kafurahi sana mbona? Kuna ule uzi wa ujio wa Lowassa Chadema....kamcheki kule.
Mi mmachame wa mjini.. Hapo ushanipoteza haha
Kwa wana jamii forum naomba mtujuze hali ilivo baada ya tukio la Lowassa kuhamia chadema,, nakumbuka madiwani walivorudisha kadi baada ya kukatwa, muitikio ukoje baada ya kuhamia chadema!?
Lakini bado haibadili chochote. ..
Lowassa ni yuleyule.
LAKI si pesa mpwa unaitwa hukuHebu highlight jina lake kama litatokea
Sio ball position tu, na goal 7-0.
Teh teh raha sana kwakweli hii siku ya leo nitaiandika katika diary kwa wino mwekundu!
Hebu highlight jina lake kama litatokea
Siasa bwana!! Ila nimeona Tanzania watu wengi elimu ya kupambanua mambo ama ni ndogo kutokana na kiwango. Cha elimu au kusudi kutokana na kukumbatia udini au ukabila, na hili lisipoangaliwa litakua janga la taifa letu, mfano mi si mshabiki ila kwa utafiti wangu nimeona wachaga wengi ni chadema, naona ni wapare tu ndio wamejitenganisha, je huu ni ukabila, ujinga au vyote? Na kama nchi hii itaenda kwa mtindo huu si ndio nchi itaenda kumwagika vipande vipande kama unguja na pemba,! Lowassa kaenda cdm nasikia na waarusha nao wanamfuata! Ningeelewa zaidi kama wangekuwa ni wa jimboni kwake tu ! Tufanyeje ili hali hii isiendelee?
Siasa bwana!! Ila nimeona Tanzania watu wengi elimu ya kupambanua mambo ama ni ndogo kutokana na kiwango. Cha elimu au kusudi kutokana na kukumbatia udini au ukabila, na hili lisipoangaliwa litakua janga la taifa letu, mfano mi si mshabiki ila kwa utafiti wangu nimeona wachaga wengi ni chadema, naona ni wapare tu ndio wamejitenganisha, je huu ni ukabila, ujinga au vyote? Na kama nchi hii itaenda kwa mtindo huu si ndio nchi itaenda kumwagika vipande vipande kama unguja na pemba,! Lowassa kaenda cdm nasikia na waarusha nao wanamfuata! Ningeelewa zaidi kama wangekuwa ni wa jimboni kwake tu ! Tufanyeje ili hali hii isiendelee?