haki na usawa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 485
- 138
Hakuna lolote jipya bali wanaendelea kama kawaida
Niko mererani huku nishangwe sana yani kila kona ukipita watu wanakua kama washapata ushindi... Migungani,songambele,k'moyo, losenya hadi mbuguni nimepita nihoyeee hoyeeee
Kwa wana jamii forum naomba mtujuze hali ilivo baada ya tukio la Lowassa kuhamia chadema,, nakumbuka madiwani walivorudisha kadi baada ya kukatwa, muitikio ukoje baada ya kuhamia chadema!?
Tuko pamoja katika hili.Yaani leo ni rahaaaaaaaaaLeo nakunywaa bia pakaaaaa....safar ya matumaini imerejeaa
Tuko pamoja katika hili.Yaani leo ni rahaaaaaaaaa
Hahahaa hayo tuyaache bwana tuongee kulingana na muktadha...huku ni siasani tuongee siasa.Wewe pia.....lol..
Nimefurahi sana...
Kumuona bint wa king for real
Hahahaa hayo tuyaache bwana tuongee kulingana na muktadha...huku ni siasani tuongee siasa.
Mimi ni mwana ukawa kitambo, ila kwa Lowassa ndio zaidi.Karibu ukawa....tulikomboe taifa
Niko mererani huku nishangwe sana yani kila kona ukipita watu wanakua kama washapata ushindi... Migungani,songambele,k'moyo, losenya hadi mbuguni nimepita nihoyeee hoyeeee
Mimi ni mwana ukawa kitambo, ila kwa Lowassa ndio zaidi.
Namkubali sana huyu mzee wa ukweli.
Duuuh! Mimi mwenzio namuelewa huyu mzee kitambo sana.Hata hivyo hakijaharibikia kitu, here we go.Aisee jana nliblem saana ukawa, nlimblem saana mbowe, but leo nmemsikiliza mbowe kwa makini....
Nmekubali..
Duuuh! Mimi mwenzio namuelewa huyu mzee kitambo sana.Hata hivyo hakijaharibikia kitu, here we go.