Mwaka huu kazi ipo,walifikiri bao la mkono litafungika kirahisi
Bao la mkono mwisho bafuni.. Tanzania nzima wote lowasa😀😀
Tusubiri huenda likawa ndo kaburi LA chadema
Nimekunywa DOMPO chupa tatu mpaka sasa sisikii kulewa! LOWASSA asante baba!
Hujamuona laki si pesa? Mbona keshahama kitambo?
Lowasa ameanga mmba eka iruwa.
Mimi nataka Kikwete aumbuke, chama kimfie mkononi.Watasepa wengi tu mdogo mdogo. Aibu itawapa wawe humu jamvini?
Siasa bwana!! Ila nimeona Tanzania watu wengi elimu ya kupambanua mambo ama ni ndogo kutokana na kiwango. Cha elimu au kusudi kutokana na kukumbatia udini au ukabila, na hili lisipoangaliwa litakua janga la taifa letu, mfano mi si mshabiki ila kwa utafiti wangu nimeona wachaga wengi ni chadema, naona ni wapare tu ndio wamejitenganisha, je huu ni ukabila, ujinga au vyote? Na kama nchi hii itaenda kwa mtindo huu si ndio nchi itaenda kumwagika vipande vipande kama unguja na pemba,! Lowassa kaenda cdm nasikia na waarusha nao wanamfuata! Ningeelewa zaidi kama wangekuwa ni wa jimboni kwake tu ! Tufanyeje ili hali hii isiendelee?
machame wamesha ongwa mbege nahisi ni mbowe kafanya yake
yan acha tu, watu wana press tu ze ball yan, yan ni one touch one touch tu...tap, tap, tap, mara ndukiiiiiiiiiiiiii..........wayaaaaaaaaaaaa!!!
Ngoja nimtafute na mwingine mmaranguoriginal
lalu nyebaara bia tubu mmawomi, kinu cha mai. kocha kosinde lowasa koshyamya kouye lowasa...Lowasa ameanga mmba eka iruwa.
Mwaka huu kazi ipo,walifikiri bao la mkono litafungika kirahisi
Mimi nataka Kikwete aumbuke, chama kimfie mkononi.
Asante Lowassa kwa kweli.
Mimi nilikua nawaza kama nimeachwa....lool
Hata mi nilijua tu magamba wangempitisha ukawa wasingepata kitu mapema. Yule hata ka utafiti nilikofanya wengi walikua wana mwamini licha ya kuchafuliwa aiseeTatizo langu mimi lilikuwa CCM sio Lowassa.. Angepitishwa kule upinzani tungeshindwa mapema sana