Baada ya Lowassa kuhama CCM hali ilivyo Monduli

Baada ya Lowassa kuhama CCM hali ilivyo Monduli

Mimi ni mwana ukawa kitambo, ila kwa Lowassa ndio zaidi.
Namkubali sana huyu mzee wa ukweli.


Hata mimi, yaani na rahaaaa, daaahh..sasa vipi tuunganishe furaha zetu bana....💏💏
 
Professor mmoja kutoka chuo kikuu! Alikuwa studio za BBC dar es salaam! Anaulizwa na Zuhura Yunus! Jamaa anaeleza kwa hisia za furaha mpaka hazifichiki! !!! Kwa kweli acha upepo wa siasa za Tz ubadilike kidogo! !!!

Jamaa alieleza kwa hisia sana anakwambia haya ni mapinduzi ya siasa hayajawahi tokea tangia uhuru. Alieleza kwa furaha moja kubwa sana
 
Mkuu sikuelewi na wewe mgeni wetu au? Alaf nazan laki si pesa kabadili jina au kajitoa humu kwa aibu naomba unitaftie kamanda MUSSA ALLAN
Hujamuona laki si pesa? Mbona keshahama kitambo?
 
Last edited by a moderator:
Yaani niko uchi, rombo nje lirefu, naruka ruka, mamaaa kafurahiii sana leo yuko kwa wakwee...mm napiga konyagi, mbusi na nimedindaaaaaa...kwa furahaaaa na rahaaaaaaaaa..... hapa leo silaliiiiiii...sikai, sioni, sisikiiiiii, sielewi,... naona Tanzania mpyaaaaaaaaaa...alafu nacheza PEOPLEEEEESSSS POWER...
 
Siku ya Kupiga kura Lazima niwe na Kalamu mbili mfukoni (Nyeusi na Blue). Make hawa wasimamizi wa sisiem hawakawii kusema karamu zimeisha!

Fasta nachomoa zangu. Bonge la Tick CHADEMA ( EL)
Hahahaaaaa mkuu nimecheka sana.
 
sumbai;13437522]Leo nakunywaa bia pakaaaaa....safar ya matumaini imerejeaa
ucje sahau kwako[/QUOTE]

Nipo karibu na home...nipo na wana tunakula biaaaa......lol..
 
Back
Top Bottom