MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Tukiweka Kumbukumbu sawa ni huyu huyu Haji Manara (Msemaji mpya wa Yanga SC ) alipohamia huko alijigamba na Kujimwambafai kwa kila namna kuwa hakuna mwana Simba SC anayemuweza kwa Kuchafuana na Kutaniana pia.
Leo akiwa katika Interview EFM katika Kipindi Bora kabisa cha Michezo nchini cha Sports Headquarters Msemaji wa Yanga SC Haji Manara ametishia kuwafanyia Kitu mbaya wale wana Simba SC wote wanaomchafua na kumuanzishia Zengwe (Mada Chonganishi ) humu Mitandaoni.
"Subiri tumalize Mechi yetu hii ya CAF CL Jumapili nakuhakikishia nitadili nao Wote hawa ambao Kutwa wananichokoza na kuniandika vibaya Mitandaoni na bahati nzuri nawajua kwani ni Kakikundi fulani ka Waandishi wa Habari. Nitawakomesha nakuapia", alisema Manara.
Nami Mightier nichukue tu fursa hii Kumuambia na Kumuonya Haji Manara kuwa Moto aliouanzisha Kwetu wana Simba SC tunaomjua vyema tena kuliko anavyojijua na kutujua hautazimika leo wala Kesho kwa Vitisho vyake sana sana Mashambulizi Kwake ndiyo yatazidi ukizingatia Wengine Sisi ni Mashemeji zake kwa Dada zake wa Ilala na Buguruni na hata Waume wenzie hivyo tukiwakoleza hao hutupa Siri zake nyingi.
Akitaka Mashambulizi Kwake yasitishwe Sharti ni moja tu aache Kuizungumzia Simba SC, Watendaji na Mashabiki zake wote na ajikite zaidi Kuizungumzia Yanga SC yake. Na ikimpendeza pia atuombe Radhi wana Simba SC kwa Usaliti na Unafiki mkubwa aliotufanyia.
Usicheze na Watu wanaokujua vizuri.
Leo akiwa katika Interview EFM katika Kipindi Bora kabisa cha Michezo nchini cha Sports Headquarters Msemaji wa Yanga SC Haji Manara ametishia kuwafanyia Kitu mbaya wale wana Simba SC wote wanaomchafua na kumuanzishia Zengwe (Mada Chonganishi ) humu Mitandaoni.
"Subiri tumalize Mechi yetu hii ya CAF CL Jumapili nakuhakikishia nitadili nao Wote hawa ambao Kutwa wananichokoza na kuniandika vibaya Mitandaoni na bahati nzuri nawajua kwani ni Kakikundi fulani ka Waandishi wa Habari. Nitawakomesha nakuapia", alisema Manara.
Nami Mightier nichukue tu fursa hii Kumuambia na Kumuonya Haji Manara kuwa Moto aliouanzisha Kwetu wana Simba SC tunaomjua vyema tena kuliko anavyojijua na kutujua hautazimika leo wala Kesho kwa Vitisho vyake sana sana Mashambulizi Kwake ndiyo yatazidi ukizingatia Wengine Sisi ni Mashemeji zake kwa Dada zake wa Ilala na Buguruni na hata Waume wenzie hivyo tukiwakoleza hao hutupa Siri zake nyingi.
Akitaka Mashambulizi Kwake yasitishwe Sharti ni moja tu aache Kuizungumzia Simba SC, Watendaji na Mashabiki zake wote na ajikite zaidi Kuizungumzia Yanga SC yake. Na ikimpendeza pia atuombe Radhi wana Simba SC kwa Usaliti na Unafiki mkubwa aliotufanyia.
Usicheze na Watu wanaokujua vizuri.