Senee
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 954
- 1,054
Hahahahahaaa umenikumbusha kitu aiseeehAmerudi analia eeeh
Hurumaa..anatia hurumaaa
Nimsamehee
Hahahahahaaa umenikumbusha kitu aiseeehAmerudi analia eeeh
Hurumaa..anatia hurumaaa
Nimsamehee
Hata ambao hawajazalishwa wana mashine usedNdio maana kila siku nyuzi za kiwaponda mliokwisha totoa haziishi.
Sababu ya kutojitambua kwenu, kwanza umezalishwa na jamaa mwingine-usivyo na huruma umempelekea mshikaji wa watu mashine used na majukumu yasiyomuhusu juu.
Saa hii tena unakuja kututhibitiashia kuwa single mam ni vigeu geu.
move onNiliwahi leta thread hapa kuhusiana na experience yangu ya kuwa baby mama.
Ofcourse niliumia sana kwa yaliyo tokea,ila sikuwa na budi kumove on.Doctor wangu alinisaidia sana kisaikolojia,Mungu ambariki.
Sikuwahi mnyima kuja mwona mwanaye kila alipojisikia.Na still simnyimi kumwona mwanaye kwani ni damu yake.Baada ya muda kupita na counselling za kutosha,nilifanikiwa mwondoa moyoni na mawazoni mwangu.Doctor wangu alinisaidia kuyaona maisha katika mwanga mpana,hadi kupelekea kuja kumkubali mwanaume mwingine aliye kuwa ananipenda kabla hata sijapatwa na mkasa wa kuwa baby mama.Jamaa alinipenda na still ananipenda sana,na ndio niko naye sasa kimapenzi.
Anampenda sana mwanangu na wametokea kuelewana sana.tumekuwa tukispend week ends pamoja kama family.Tumesafiri sehemu mbalimbali pamoja na mwanangu kama Zanzibar,mombasa na dubai.
Tatizo ni kama mwezi baba wa mtoto Wangu ameanza kurudi kwa kasi kwangu,akitaka turudiane tuanzishe family na mwanetu.Anadai hataki mwanae alelewe na mwanaume mwingine.
Nimechunguza nikagundua yule mwanamke alokwenda mtambulisha kwao wameachana,sababu hasa sizijui.Namshangaa kurudi na kutaka kuniharibia furaha yangu niliyoipata baada ya kuumia sana.
Wanaume kuweni na msimamo,msipende haribu furaha za wanawake.Ni kweli nilimpenda sana ila aliniumiza sana,sasa kwann anione nimerudi kwenye furaha yangu atake kuiharibu.Huyu niliye naye kwa sasa nampenda sana na sina mpango wa kuachana naye.Mwanao atabaki kuwa mwanao,live with it man.
Hongera kwa kuwa na mtoto.Hata ambao hawajazalishwa wana mashine used
Kwani huyo mwanaume alimfunga mnyororo?
Kuna wanawake wengi ambao hawajazaa angeenda kwa hao, lakini amechagua kuwa nae na kuzaa kwake hivyo hivyo
Pita hivi na stress zako, muache mdada wa watu
Hahhahaha
Kama ungekuwa umeshamsahau hata hii thread usingeanzisha
baada ya kupelekwa mombasa na dubai naona una hamu na 'mateso' yako ya zamani
Wakuu heshima kwenu "siku zote nimekuwa nikisoma shauri zenu huwa mnajibu vizuri sana.So, ume-move on na unampenda uliye naye kwa sasa, ila bado umechunguza na kugundua kuwa mzazi mwenzio aliachana na mchumba wake huh?
I smell drama, baby mama.
Dada hongera usinkubali huyo mwanaume mharibifu,yupo mwanaume mmoja alimhadaa dada mmoja,akamfata demu mmoja mwenye hela akamuoa yamemkuta ya kumkuta,kumbe huyo demu alikuwa kaishazaa na sasa kaukwaa na amemuambukiza ukimwi,sasa ndiyo anarudi kwa huyo dada ili amwambukize naye-shitNiliwahi leta thread hapa kuhusiana na experience yangu ya kuwa baby mama.
Ofcourse niliumia sana kwa yaliyo tokea,ila sikuwa na budi kumove on.Doctor wangu alinisaidia sana kisaikolojia,Mungu ambariki.
Sikuwahi mnyima kuja mwona mwanaye kila alipojisikia.Na still simnyimi kumwona mwanaye kwani ni damu yake.Baada ya muda kupita na counselling za kutosha,nilifanikiwa mwondoa moyoni na mawazoni mwangu.Doctor wangu alinisaidia kuyaona maisha katika mwanga mpana,hadi kupelekea kuja kumkubali mwanaume mwingine aliye kuwa ananipenda kabla hata sijapatwa na mkasa wa kuwa baby mama.Jamaa alinipenda na still ananipenda sana,na ndio niko naye sasa kimapenzi.
Anampenda sana mwanangu na wametokea kuelewana sana.tumekuwa tukispend week ends pamoja kama family.Tumesafiri sehemu mbalimbali pamoja na mwanangu kama Zanzibar,mombasa na dubai.
Tatizo ni kama mwezi baba wa mtoto Wangu ameanza kurudi kwa kasi kwangu,akitaka turudiane tuanzishe family na mwanetu.Anadai hataki mwanae alelewe na mwanaume mwingine.
Nimechunguza nikagundua yule mwanamke alokwenda mtambulisha kwao wameachana,sababu hasa sizijui.Namshangaa kurudi na kutaka kuniharibia furaha yangu niliyoipata baada ya kuumia sana.
Wanaume kuweni na msimamo,msipende haribu furaha za wanawake.Ni kweli nilimpenda sana ila aliniumiza sana,sasa kwann anione nimerudi kwenye furaha yangu atake kuiharibu.Huyu niliye naye kwa sasa nampenda sana na sina mpango wa kuachana naye.Mwanao atabaki kuwa mwanao,live with it man.
Hahahaahaaaaaaaaaa yu made my dayUkirud tu ulipotoka usje tena kuomba ushaur