Unaonekana unahusika, haiwezekani ukajibu kwa hasira namna hiyo. Mapenzi kama siti ya gari, ukisimama ushuke mwenzio anakaa nci nci nci ncimi yenyewe nimemshangaa mshenzi huyu
Ngumu sana kumwacha uliye mpenda ukimpa nafas tu ya kukutana baaaaas anamaliza mchezo
Kwao wanajua umezaa nae...?
So, ume-move on na unampenda uliye naye kwa sasa, ila bado umechunguza na kugundua kuwa mzazi mwenzio aliachana na mchumba wake huh?
I smell drama, baby mama.
Kama ungekuwa umeshamsahau hata hii thread usingeanzisha
baada ya kupelekwa mombasa na dubai naona una hamu na 'mateso' yako ya zamani
Mfyuuuu zake hilo janaume
Mbona hujaomba ushauri? Heheee![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mungu akusimamie
Nawe ubaki na msimamo wako huo huo. Usije tena nawe ukamuumiza huyo jamaa aliye kufanya usahau machungu.
ndo maana wanaume tunashauriwa kutokuingia katika mahusiano na mwanamke ambaye tayari ana mtoto maana ipo siku mwenye mtoto atarudi na kutibua yale yote uliyowekeza na kugharamia kwa mwanamke huyo. binafsi sitooa mwanamke mwenye mtoto
Ndio maana kila siku nyuzi za kiwaponda mliokwisha totoa haziishi.
Sababu ya kutojitambua kwenu, kwanza umezalishwa na jamaa mwingine-usivyo na huruma umempelekea mshikaji wa watu mashine used na majukumu yasiyomuhusu juu.
Saa hii tena unakuja kututhibitiashia kuwa single mam ni vigeu geu.
HahhahahaUkirud tu ulipotoka usje tena kuomba ushaur
Akajitambulishe kwenu ikiwa unampenda....!Wanajua,mama yake huja mara kwa mara kumwona mtoto