Serukamba, Hawa Ghasia, Vicky Kamata, Dr. Kafumu, Adadi Rajabu na Andrew Chenge, hawa wote walikuwa wenyeviti wa kamati za kudumu za bunge 2015-2020 (isipokuwa Vicky yeye alikuwa makamu mwenyekiti)
Uchaguzi wa 2020 majina yao yalikatwa na jiwe pale Lumumba japokuwa waliongoza ktk kura za maoni za chama. Sababu kubwa ni kwenda kinyume na hisia za jiwe wakati wakiziongoza kamati zao.
Mifano
1. Hawa Ghasia alipinga zoezi zima la serikali kuingilia ununuzi wa korosho kule Mtwara
2. Serukamba alipinga kuandikwa kwa somo la historia kwa kiswahili, ili jiwe aandikwe na kusomwa na watoto wetu.
Ghasia na Serukamba hoja yao zilikuwa na maana na ndiyo maana waliyoyapinga yamebatilishwa na rais Samia
Uchaguzi wa 2020 majina yao yalikatwa na jiwe pale Lumumba japokuwa waliongoza ktk kura za maoni za chama. Sababu kubwa ni kwenda kinyume na hisia za jiwe wakati wakiziongoza kamati zao.
Mifano
1. Hawa Ghasia alipinga zoezi zima la serikali kuingilia ununuzi wa korosho kule Mtwara
2. Serukamba alipinga kuandikwa kwa somo la historia kwa kiswahili, ili jiwe aandikwe na kusomwa na watoto wetu.
Ghasia na Serukamba hoja yao zilikuwa na maana na ndiyo maana waliyoyapinga yamebatilishwa na rais Samia