Baada ya kumuacha mke wangu amelia sana, naanza kumuonea huruma, nifanyeje?

Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi

Wakuu nifanyeje?

Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi

Wakuu nifanyeje?
Fala wewe,

Mchukue tena ndo utajua hujui. Hakuna mwanamke fala., Akirudi anakuja kukumalizia kabisa na upopoma wako.
 

Mwanaume mwenyewe hadi na period unapata, aaah upigwe tu kudadeki zako......
 
Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi

Wakuu nifanyeje?

Kwa hiyo mpumbavu wewe ulimuacha bila sababu ya msingi?
 
Kama amekiri kujirekebisha mrudie, kama mna Watoto itapendeza zaidi mkilea wote kwa pamoja.
 
Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi

Wakuu nifanyeje?
Songa mbele mjuba,
huruma huleta dhambi wakati mwingine!
 
Jidanganye
1712210584159.jpg
 
Back
Top Bottom