Baada ya kumuacha mke wangu amelia sana, naanza kumuonea huruma, nifanyeje?

Wanawake wana silaha nne kuu za kuwacontrol wanaume mabwege
1. Sex
2. Machozi/kujiliza
3. Maneno matamu
4. Drama

Kama una sababu ya msingi ya kumpiga chini fanya hivyo usisite. Mwanamke huwa hasamehewi hata ajilize. Kwa kifupi usimpe nafasi ya kumsikiliza
Asome hapa kama asipoelewa basi
Machozi ya wanawake huwa sio ya kweli achana nayo
 
Hivi watu mnapata wapi ujasiri wa kuyaanika ya ndani humu mitandaoni?

Alafu unakuta Kuna watu wanakushauri cha kufanya kuhusu juu ya huyo mwanamke.
Kama ume maintain usiri wa ID fake huna sababu ya kuogopa, ila Kuna baadhi yetu ID zetu zinajulikana na baadhi ya watu hapo ndio inakuwa sio sahihi kueleza mambo yako ya ndani.
Muache atoe stress zake na tujifunze kama Kuna la kujifunza, maana hajulikani na mtu yoyote hapa
 
Wanawake wana silaha nne kuu za kuwacontrol wanaume mabwege
1. Sex
2. Machozi/kujiliza
3. Maneno matamu
4. Drama

Kama una sababu ya msingi ya kumpiga chini fanya hivyo usisite. Mwanamke huwa hasamehewi hata ajilize. Kwa kifupi usimpe nafasi ya kumsikiliza
hiyo namba moja na namba tatu mhn! sina uhakika kama naweza himili
 
Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi

Wakuu nifanyeje?
Huyo mnatoshana mrudishe tu
 
Sisi tutashauri tu mzikwe wapi kulingana na uchumi utakavyokua, kuhusu maisha yenu nyie ishini tu muwezavyo kwa sasa.
 
Mwanamke unaanzaje kumpiga mumeo?
Hata kama umemkinai,kumchamba baba wa watoto wako?
malezi kama mama alikuwa anampika baba yake uko uwezekano mkubwa na yeye akafanya hivyo hivyo.
Mfano jana nilitembelewa na mabinti wawili (mtu na mama yake mdogo) mdogo akawa anakaanga chips lakini kazigawasha mara mbili nikamuuliza kwanini unagawasha mara mbili hakuwa na jibu nikamwambia weka zote.
mama mdogo akanijibu kuwa yeye alipokuwa kwao siku zote anamuona mama yake akikaanga samaki anawakata katikati hivyo akajua ni taratibu. sasa ikafika siku mama akaja kumtembelea binti yake akakuta na yeye anakata samaki katikati akamuuliza kwanini unafanya hivyo? akamwambia wewe si ndio umenifundisha hivyo, akamwambia nilikuwa nafanya hivyo kwa kuwa kikaangio kilikuwa kidogo hakiwezi kutosha samaki mzima lakini kwako kikaango kinatosha hivyo weka mzima. hivyo akamalizia likewise dogo anafanya hivyo kwakuwa kwetu hatuwezi kukaanga chips nyingi kwa pamoja.
nyoka uzaa nyoka
 
Hivi watu mnapata wapi ujasiri wa kuyaanika ya ndani humu mitandaoni?

Alafu unakuta Kuna watu wanakushauri cha kufanya kuhusu juu ya huyo mwanamke.
Ya ndani ni yapi,hakuna siri hapa Duniani unalolipitia wewe katika mahusiano yako kuna wenzako walilipitia 100 years ago.jifunze kutoka kwa wenzio acha kujifanya nunda.
 
Mwanamke asamehewi kwa njia yoyote ile,ni bora ule kinyesi chako lakini never ever usije ukamsamehe Mwanamke-maana ndio tabia zake alizokuanazo na hawezi kubadilika kamwe
 
Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi

Wakuu nifanyeje?
Nawewe tafuta sehemu ulie
 
Mrudishe aanze mikakati ya kukuondoa duniani,kumbuka 80% ya vifo vya Wanaume vinatokana na wanawake either kwa kuwaua Wanaume direct au kuwafanyia msongo wa mawazo.
 
Back
Top Bottom