Baada ya kumuacha mke wangu amelia sana, naanza kumuonea huruma, nifanyeje?

JamiiForums68569125.jpg


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Msamehe tu maisha yasonge life is to short au sio kutenda kosa si kurudia kosa
 
Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi

Wakuu nifanyeje?
fanya hivyo hivyo msamaha na huruma inapokutuma na Mungu atakubariki sana 🐒
 
Wakuu naanza kumuonea huruma huyu mke wangu baada ya kumpiga chini sasa amenza kulia na kusaga meno yaani napata na huruma aisee na mimi naanza kulia na kusaga meno nakumbuka zile moment lakini moment nyingi zilikuwa za mimi kupigwa,kuchambwa na kutukanwa aiseee lakini sio kesi

Wakuu nifanyeje?
Never trust women, anaweza akauliza mpka katoa machozi lakini akawa bado anaigiza
 
Yaan mtwangio ugonge kwenye kinu sauti isikike kwa kishindo mpaka majirani wajue huko leo huyo mtwangaji anatwanga 😃
Hapo unajua sana
Hata kupangiilia umeweza sana
Sauti itatoka ya kwanza na ya pili ya tatu na nne tuwaachie kina Mwantum
 
Back
Top Bottom