Baada ya kumjali na kupigania mafanikio yake, leo nimegeuka kuwa mshamba

Tafuta penzi jipya msahau Usonge mbele wanawake wapo wengi tu
 
Atakuwa ni mpenzi wako wa kwanza huyo.

Ukipata mwingine akakupiga tukio kama hilo tena ndo utakuwa umefuzu.

Utakuwa sawa muda si mrefu, ila ukiendelea na ujinga wako wa kukaa ndani utachelewa kuwa sawa.
Mamaee😂😂😂😂
 
Ni bora udisco hyo masters maana unazingua,hiyo hesabu kama sadaka mwaego. pambana usijedisco kwa vitu vya kijingà
 
Achana nae bro bora ukasaidia ndugu zako watakusaidia au hata watasaidia watoto wako huko mbeleni achana na wanawake.
 
Haswaaaaa
 
Bro kupenda hakuna thamani Tena.
Tongoza TOMB*** SEPA.

#YNWA
 
Kama ni wa kwako atarudi, kama si wa kwako potezea. Na sio ndo ukae umsubiri. Fanya maisha yako jomba. Muache ajifunze na aone hayo anayoyafanya ni ya kawaida sana. Kama yana umuhimu kwake ataendelea nayo. Akiona wewe una umuhimu kwake atarudi.
Na usisahau kumwambia, wanawake wa siku hizii HAWAPENDEKI.
Just HIT and RUN

#YNWA
 
Pole Sana ndugu, Ni bahati mbaya Sana hawa wenzetu hawajui kumwacha mtu bila ya kumsababishia maumivu.

Kwa sisi wengine tuliopitia hali kama hio kweli tulipima hio changamoyo na kuona hakuna changamoto inayolingana na hio hali.

Lakini baadae tulipokaa sawa tuliona Ni kawaida sana tena Sana.

Hivyo tulia, endelea na Mambo yako ya muhimu.


Mimi nadhani sababu kubwa zaidi ya changamoto wanazokutana nazo wakina mama zinatokana na matendo yao ya awali, wamekua sababu ya maumivu kwa wengi , ndio maana kila leo wamejazana kwa wachungaji na manabii wakiendelea kupata mauvu.
 
Best option n pamoja n kukubali kumpoteza Kwa moyo mweupe,,,,, mkuu now days hatulazimishi penzi,,,, stay strong and move on
 
Hahahahaha eti KIMCHARUKO! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani uache kusimamia biashara Kwa kuwaza hiko kimcharuko?..
Seriously?...

Unatakiwa umshukuru Mungu umeona rangi zake mapema sana...asije kukusumbua huku ushazaa nae na ushamuoa
 
Kila siku tunawaambia mwanamke hasomeshwi wala kumtafutia kazi
Wazazi wake hawakumtafutia kazi wanajua mapungufu ya mtoto wao

Sasa wewe mbuzi mmoja umeyavaa
Mkuu kwani kila wazaz wana uwezo kweli wa kuwatafutia Kaz watoto wao ?
 
Reactions: Cyb

katika ubora wako
 
Wakati naanza kusoma nilihisi wewe ni Wakike ivo kuna Njemba opportunist imekutumia na kukudump kumbe sivo aisee, Nakushauri kwa sasa kaa pembeni na observe pengine huyo mwanamke yupo Kwenye Golden age ambayo hio age itapita very soon na mpaka ipite tayari atakuwa na Mtoto atakuwaza sana na kutamani kurudi kwako, Huo ndio wakati sasa wa wewe pia kumuumiza tena sana halafu unamuacha mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…