Baada ya Kumalizana na CCM, Shigongo kaibuka na hii

Hata ungekuwa unaheshimika kiasi gani,ukianza kujinyenyekeza kwa watawala tu-Hadhi yako inashushwa hadi wadogo zako "akina Nape,Makonda" watakupa amri na utatekeleza kwa unyenyekevu kana kwamba wewe ndio "dogo" kwao!
Heshima niliyokuwa nayo kwa Erick niliishusha baada tu ya kuusoma waraka wake wa pili ulioelezea jinsi alivyomalizana na wadaiwa wake...
Erick ni mnafki sana!
Lile lijamaa sina hata hamu nalo majitu mengine buuuuure kabisa limerudisha mpira kwa kipa...poor gongo
 
Back
Top Bottom