Baada ya kukutana naye kimwili amebadilika sana

Ila hii ipo kote, hata nyie mna msemo wenu kwamba hamuwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia. Me sioni kama ni kitu kibaya, japo sex is not everything katika mahusiano/ndoa ila inaplay part kubwa pia.
So ni vizuri ukawa na mtu ambaye ukiwa nae faragha unaenjoy kuepusha matatizo ya kuchepuka huko nje.
right bt haiepushi kuchepuka bt labda inapunguza tu.
 
WANAWAKE WA ARUSHA NA MOSHI, UKITAKA UPENDWE NAO UJUE KUWACHAKATA HASWA...

HAWA WANAWAKE WANAPENDA KUGEGEDWA KAMA MBWA...

USIPOWAKUNA HAWA IPASAVYO WATAKUACHA KWA UDHALILI...
 
Unaisi amekupa maambukizi ama! vp ulikula pipi bila maganda au! Nenda kapime usijipe stress mkuu
 
WANAWAKE WA ARUSHA NA MOSHI, UKITAKA UPENDWE NAO UJUE KUWACHAKATA HASWA...

HAWA WANAWAKE WANAPENDA KUGEGEDWA KAMA MBWA...

USIPOWAKUNA HAWA IPASAVYO WATAKUACHA KWA UDHALILI...
Sidhani kama uko sahihi.
Wanawake wa kaskazini hawana unyago wala ngoma.
Hawa ni aina ya wanawake amabao hawana mila au mrengo flani katika mahusiano.
Nijuavyo mimi ni kuwa wanawake wa kaskazini hasa wachaga na wameru wapatapo mtu sahihi wengi wao huridhika sana, tofauti na makabila mengine
 
1. Wanawake wa kizungu wana msemo huu kwa wanawake wenzao, "Once you go black you won't come back"!
2. Wanawake wa kiswahili wao wanasemo, "Ukitembea na Masai huwezi kumwacha"!
Sasa wewe ulikosea wapi? masai1997
 
Back
Top Bottom