right bt haiepushi kuchepuka bt labda inapunguza tu.Ila hii ipo kote, hata nyie mna msemo wenu kwamba hamuwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia. Me sioni kama ni kitu kibaya, japo sex is not everything katika mahusiano/ndoa ila inaplay part kubwa pia.
So ni vizuri ukawa na mtu ambaye ukiwa nae faragha unaenjoy kuepusha matatizo ya kuchepuka huko nje.