- Thread starter
- #21
Sio sababu,, maana najielewa mkuuuHukupiga shoo vizuri masai
Sio sababu,, maana najielewa mkuuuHukupiga shoo vizuri masai
Unahisi sababu inaweza kuwa ni nini?Sio sababu,, maana najielewa mkuuu
Sivyo hakika,, najua nilichokifanya na alikuwa vzr tu,, Nafikiri alikuwa na lake JamboUnahisi umepata nini??
Inawezekana yeye kawa kwako disappointed na sex ..Hilo tu..
Otherwise kapime uishi Kwa uhuru
Wala sikumpania lkn mkuu chakula kama inang'ang'ania kwa mdomo si inabidi tu ukuleUlimpania sana, ukajikuta umeharibu.
Kwa kifupi hajafurahia tendo na huenda alichotarajia hajakipata.
Mimi nafikiri alikuwa na lake Jambo ndo nashindwa kujua shida nini,,Unahisi sababu inaweza kuwa ni nini?
Wanasema ni mpaka miezi mitatu broo au kuna mabadilikoKapime tu ujue kama umeshaunganishwa na Gridi ya taifa
na hii ndo kanuni ya wadada wa kisasa sijui mnakwama wapi?Itakua mdada alitaka kujua kama yaliyomo yamo akakuta ndivyo sivyo, akarudi njia kuu.
mkuu ke ukimchapa mkia vizuri hawezi kukuchunia hivo hata kama alikua hakupendi, jiongeze.Mimi nafikiri alikuwa na lake Jambo ndo nashindwa kujua shida nini,,
Hapo kwenye kuhisia alikuwa na jambo ndo tatizo mkuu.....Mimi nafikiri alikuwa na lake Jambo ndo nashindwa kujua shida nini,,
Alpha 1 we don't know what we are dealing with if you have a clear shot take it, I repeat take it over..Man down man down we need backup do you copy?
Nakaziamkuu ke ukimchapa mkia vizuri hawezi kukuchunia hivo hata kama alikua hakupendi, jiongeze.
Katika mahusiano kuna siri kubwa sana.Wala sikumpania lkn mkuu chakula kama inang'ang'ania kwa mdomo si inabidi tu ukule
Tunakwama wapi kivipi sasa, kila mtu ana choice yakena hii ndo kanuni ya wadada wa kisasa sijui mnakwama wapi?
umemaliza kila kitu.Katika mahusiano kuna siri kubwa sana.
Mtu mwingine anaweza kuwa anavutiwa na wewe sana kabla hamja sex, mkisex basi na urafiki/upendo unaishia hapo.
Hata mimi iliwahi kunitikea hii, kuna binti alikuwa akinivutia sana, baada ya kukutana naye....ule mvuto wake uliishia hapohapo...usiniulize kwanini
namaanisha zamani hamkua na tabia ya kutaka kujua kama yaliyomo yamo bt kwa sasa hili mmelipa kipaumbele sana.Tunakwama wapi kivipi sasa, kila mtu ana choice yake
Ila hii ipo kote, hata nyie mna msemo wenu kwamba hamuwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia. Me sioni kama ni kitu kibaya, japo sex is not everything katika mahusiano/ndoa ila inaplay part kubwa pia.namaanisha zamani hamkua na tabia ya kutaka kujua kama yaliyomo yamo bt kwa sasa hili mmelipa kipaumbele sana.