Bei Mbaya
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 2,262
- 856
Nawapenda,
Ni kawaida kufanya kautafiti juu ya mwenza unayetaka kuanzisha nae mahusiano. Inapotosha kujiridhisha na kuanza uhusiano ni busara kuacha kuchimba mambo yake ya zamani
Ni jambo,hulka,tabia gani pale utakapoijua kwa bahati mbaya kuhusu past ya mwenzi wako itapelekea uhusiano kuvunjika?
Wengi husema kama hakujua au mwenzi alimficha kuwahi kuwa; changudoa,kuwa na watoto,ujambazi,utoaji mimba,kuwahi kuoa/kuolewa,kushiriki mapenzi ya jinsia moja,kuugua kichaa,ulevi,ngono kinyume na maumbile n.k
Wewe je?
Ni kawaida kufanya kautafiti juu ya mwenza unayetaka kuanzisha nae mahusiano. Inapotosha kujiridhisha na kuanza uhusiano ni busara kuacha kuchimba mambo yake ya zamani
Ni jambo,hulka,tabia gani pale utakapoijua kwa bahati mbaya kuhusu past ya mwenzi wako itapelekea uhusiano kuvunjika?
Wengi husema kama hakujua au mwenzi alimficha kuwahi kuwa; changudoa,kuwa na watoto,ujambazi,utoaji mimba,kuwahi kuoa/kuolewa,kushiriki mapenzi ya jinsia moja,kuugua kichaa,ulevi,ngono kinyume na maumbile n.k
Wewe je?