Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,050
- 12,967
Kuna mambo akinidanganya ahakikishe sitayajua maana nikiyajua tu naachana nae, vinginevyo kabla hatujaingia kwenye mahusiano ya kudumu aniambie ili nifanye informed decision kama niwe nae au la.
Akinidanganya hana mtoto kumbe anae, siku nikijua naachana nae on the spot. Aliwahi kua changudoa,aliwahi kutoa mimba,aliwahi kuolewa. Hayo anatakiwa kuniambia mapema,akificha siku nikijua naachana nae haraka sana.
Akinidanganya hana mtoto kumbe anae, siku nikijua naachana nae on the spot. Aliwahi kua changudoa,aliwahi kutoa mimba,aliwahi kuolewa. Hayo anatakiwa kuniambia mapema,akificha siku nikijua naachana nae haraka sana.