Baada ya kufungiwa Jamii Forums, ni wazi msimu huu wa ligi unaenda kupooza

Baada ya kufungiwa Jamii Forums, ni wazi msimu huu wa ligi unaenda kupooza

DELETED ACCOUNT

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
9,805
Reaction score
15,470
Huu msimu wa mpira unaenda kupooza kama uji wa mgonjwa.

Yanga walishalijua hili ndiyo maana mambo mengi wanafanya ya hovyo bila kujali, kuanzia usajili usio na tija, jezi na hata ile milioni 100. Unaweza kudhani naongea kishabiki ila nina maana yangu kuitaja Yanga katika hili.

Ni wazi Simba inaenda kuwa bingwa msimu huu ila ubingwa wake utafunikwa na mambo yasiyohusiana na mpira. Pia ratiba itakuwa inabadilishwa hovyo hovyo mno kutokana na changamoto mbalimbali zitakazokuwa zinajitokeza.

Bila Jamii Forums, Youtube na Instagram hamna ligi ya maana itafanyika na viwanjani mahudhurio yatapwaya mno. Hii mitandao yote inaenda kufungiwa na itakuwa inasuasua hadi mwakani.

Fungeni mikanda. Tunaingia zama za misukosuko.
 
Huu msimu wa mpira unaenda kupooza kama uji wa mgonjwa.

Yanga walishalijua hili ndiyo maana mambo mengi wanafanya ya hovyo bila kujali, kuanzia usajili usio na tija, jezi na hata ile milioni 100. Unaweza kudhani naongea kishabiki ila nina maana yangu kuitaja Yanga katika hili.

Ni wazi Simba inaenda kuwa bingwa msimu huu ila ubingwa wake utafunikwa na mambo yasiyohusiana na mpira. Pia ratiba itakuwa inabadilishwa hovyo hovyo mno kutokana na changamoto mbalimbali zitakazokuwa zinajitokeza.

Bila Jamii Forums, Youtube na Instagram hamna ligi ya maana itafanyika na viwanjani mahudhurio yatapwaya mno. Hii mitandao yote inaenda kufungiwa na itakuwa inasuasua hadi mwakani.

Fungeni mikanda. Tunaingia zama za misukosuko.
Ni nani aliyekuambia jamii forums imefungiwa?
 
Huu msimu wa mpira unaenda kupooza kama uji wa mgonjwa.

Yanga walishalijua hili ndiyo maana mambo mengi wanafanya ya hovyo bila kujali, kuanzia usajili usio na tija, jezi na hata ile milioni 100. Unaweza kudhani naongea kishabiki ila nina maana yangu kuitaja Yanga katika hili.

Ni wazi Simba inaenda kuwa bingwa msimu huu ila ubingwa wake utafunikwa na mambo yasiyohusiana na mpira. Pia ratiba itakuwa inabadilishwa hovyo hovyo mno kutokana na changamoto mbalimbali zitakazokuwa zinajitokeza.

Bila Jamii Forums, Youtube na Instagram hamna ligi ya maana itafanyika na viwanjani mahudhurio yatapwaya mno. Hii mitandao yote inaenda kufungiwa na itakuwa inasuasua hadi mwakani.

Fungeni mikanda. Tunaingia zama za misukosuko.
Kwa tanzania kweli imefungiwa
 
Huu msimu wa mpira unaenda kupooza kama uji wa mgonjwa.

Yanga walishalijua hili ndiyo maana mambo mengi wanafanya ya hovyo bila kujali, kuanzia usajili usio na tija, jezi na hata ile milioni 100. Unaweza kudhani naongea kishabiki ila nina maana yangu kuitaja Yanga katika hili.

Ni wazi Simba inaenda kuwa bingwa msimu huu ila ubingwa wake utafunikwa na mambo yasiyohusiana na mpira. Pia ratiba itakuwa inabadilishwa hovyo hovyo mno kutokana na changamoto mbalimbali zitakazokuwa zinajitokeza.

Bila Jamii Forums, Youtube na Instagram hamna ligi ya maana itafanyika na viwanjani mahudhurio yatapwaya mno. Hii mitandao yote inaenda kufungiwa na itakuwa inasuasua hadi mwakani.

Fungeni mikanda. Tunaingia zama za misukosuko.
Wewe umefanya usajili gani wenye tija? Hata wachezaji wenyewe hujawaona zaidi ya kuwasikia.Msimu huu unakazi mbili ya kwanza kutengeneza defense yako ya pili striking force ( hasa namba kumi), tena kama defense ndio kabisa nyie wenyewe mnasikilizia ili muwaone hao mabeki walio chukua nafasi ya Che na Shabalala.Sir Fegurson ana msemo wake timu yenye washambulia wazuri watakupa magoli,ila timu yenye defender wazuri watakupa makombe.

Mkifungwa mnaanza kumlaumu Mangungu, huku kumbukumbu za bil 20 mnazo mdai Mo zinarudi
 
Wewe umefanya usajili gani wenye tija? Hata wachezaji wenyewe hujawaona zaidi ya kuwasikia.Msimu huu unakazi mbili ya kwanza kutengeneza defense yako ya pili striking force ( hasa namba kumi), tena kama defense ndio kabisa nyie wenyewe mnasikilizia ili muwaone hao mabeki walio chukua nafasi ya Che na Shabalala.Sir Fegurson ana msemo wake timu yenye washambulia wazuri watakupa magoli,ila timu yenye defender wazuri watakupa makombe.

Mkifungwa mnaanza kumlaumu Mangungu, huku kumbukumbu za bil 20 mnazo mdai Mo zinarudi
Nilichokisema kinazidi upeo wako. Ungepita tu
 
Nilichokisema kinazidi upeo wako. Ungepita tu
Tatizo lenu mashabiki wengi hamjua kuichambua timu technically, yaani hapo umeongea mashudu na mahaba yako. Mimi nimeidentify maeneo ya timu yenu yaliyo na mapungufu na hata mahsabiki wenzenu wa humu wameongea sana.Naongezea eneo la kiungo mkabaji Kagoma ni mvunja kuni watu wakigundua udhaifu wake atakuwa sana anakula red,hapo ulipo hujui replacement yake ipoje.
 
Tatizo lenu mashabiki wengi hamjua kuichambua timu technically, yaani hapo umeongea mashudu na mahaba yako. Mimi nimeidentify maeneo ya timu yenu yaliyo na mapungufu na hata mahsabiki wenzenu wa humu wameongea sana.Naongezea eneo la kiungo mkabaji Kagoma ni mvunja kuni watu wakigundua udhaifu wake atakuwa sana anakula red,hapo ulipo hujui replacement yake ipoje.
Aiseeee...
 
Back
Top Bottom