Hongera sana. Umevuka mtihani mkubwa sana kwenye maisha yako. Mwenyezi Mungu akutie nguvu usirudi nyuma...
Nimeona hapo juu watu wakikuponda kuwa miezi mitatu sio mingi na uko vulnerable kurudia 'matapishi' Soma hii habari hapo chini. Mungu alipoamua kumnyanyua nabii Eliya, Watu wengi 'waliponda' na hata manabii wadogo wakamuomba msaidizi wa Elia waende maporini kumtafuta, maana huenda Mungu amemuacha na amedondokea huko. Elisha aliwakataza. Maana Mungu akikuinua hawezi akauangusha wala kukuacha urudi nyuma. Nakutakia ndoa yenye furaha na amani na utulivu...
New Living Translation
"Sir," they said, "just say the word and fifty of our strongest men will search the wilderness for your master. Perhaps the Spirit of the LORD has left him on some mountain or in some valley." "No," Elisha said, "don't send them."
2Kings 2:16.