Baada ya kuachana na matumizi ya pombe

Baada ya kuachana na matumizi ya pombe

Hahaaa.... !!
When we drink we get drunk,
when we get drunk we go strait to bed and sleep,
when we get asleep we donot commit sins,
when we dont commit sins we go to HEAVEN!
So, lets Drink and go to Heaven
 
Ashukuliwe Mwenyezi kwa kutupa pumzi mpaka muda huu! Napenda niwashirikishe katika furaha na maisha mapya tangu nilipotoka kwenye Team gambe!
1: Nawai kuludi kwangu.
2: Pesa ninayoipata naitumia vizuri na kufanya vitu vyenye kuleta maendeleo.
3: Swala la hang over na kuzimua nimeshalisahau.
4: Ugomvi na mavulugu yote kwisha.
5: Maelewano na mama watoto yamekua kwa kiasi kikubwa.
6: Kuchoka choka nikiwa kazini kumekwisha.
na mengineyo meengi!
Wito wangu kwenu; Pombe ni adui wa maendeleo, ukitaka kuishi kwa mafanikio huna budi kuiacha.

wewe ulikuwa mlevi. wenzio wanakunywa na wanatimiza majukumu yao vizuri tu.
 
Hongera mkuu, vijana wengi wanalalaga mitaroni wakiamka asubuhi wamevunjiwa mayai. Pombe ni Haram. Ina Madhara mengi na faida kidogo.
 
Hongera mkuu, vijana wengi wanalalaga mitaroni wakiamka asubuhi wamevunjiwa mayai. Pombe ni Haram. Ina Madhara mengi na faida kidogo.

Pamoja sana!
 
Sijawai kushindwa kutimiza majukumu!

utatimiza vipi majukumu yako wakati
1.ulikuwa unachelewa kurudi nyumbani...labda saa nane tisa usiku,utatimiza majukumu kama kufuatilia watoto wako homework zao?mkeo saa hizo kalala wewe umelewa utamtimizia lile jukumu??
2.pesa ulikuwa unapata huitumii ipasavyo maanake nini??na sasa hivi unaitumia kwa maendeleo ina maana unatimiza jukumu la kuendeleza familia sasa hivi na si mwanzoni
3.maugomvi na vurugu jukumu lako kuwa mtiifu ndoani na kwa jamii huwezi kulitimiza kwa vurugu
4.ulikuwa huna maelewano na mkeo,ndo ingekushinda
5.huwezi kutimiza majukumu yako kazini kama kila siku unaingia umechokachoka kwa hangover za pombe za jana
 
Wowwww....leo ni ijumaa, chenji bado iko mfukoni ...... Zanzi ya barafu ni tamuuuu! tukutane dagaa dagaa
 
Ashukuliwe Mwenyezi kwa kutupa pumzi mpaka muda huu! Napenda niwashirikishe katika furaha na maisha mapya tangu nilipotoka kwenye Team gambe!
1: Nawai kuludi kwangu.
2: Pesa ninayoipata naitumia vizuri na kufanya vitu vyenye kuleta maendeleo.
3: Swala la hang over na kuzimua nimeshalisahau.
4: Ugomvi na mavulugu yote kwisha.
5: Maelewano na mama watoto yamekua kwa kiasi kikubwa.
6: Kuchoka choka nikiwa kazini kumekwisha.
na mengineyo meengi!
Wito wangu kwenu; Pombe ni adui wa maendeleo, ukitaka kuishi kwa mafanikio huna budi kuiacha.
Wewe ulikuwa unazinywa vibaya mkuu,mpaka zinakuletea matatizo yote hayo,mbona mie nazinywa kistaarabu na sina hayo matatizo au ulikuwa unakuwa za kienyeji?
 
ashukuliwe mwenyezi kwa kutupa pumzi mpaka muda huu! Napenda niwashirikishe katika furaha na maisha mapya tangu nilipotoka kwenye team gambe!
1: Nawai kuludi kwangu.
2: Pesa ninayoipata naitumia vizuri na kufanya vitu vyenye kuleta maendeleo.
3: Swala la hang over na kuzimua nimeshalisahau.
4: Ugomvi na mavulugu yote kwisha.
5: Maelewano na mama watoto yamekua kwa kiasi kikubwa.
6: Kuchoka choka nikiwa kazini kumekwisha.
Na mengineyo meengi!
Wito wangu kwenu; pombe ni adui wa maendeleo, ukitaka kuishi kwa mafanikio huna budi kuiacha.

ujumbe mzuri, lakini sidhani kama utaeleweka, manake kuhusu maendeleo wapo wengi wanywaji na wana maendeleo sana tu kuliko hata wale wasiokunywa. All in all nakupongeza kwa kuachana na mdudu pombe.
 
Wewe ulikuwa unazinywa vibaya mkuu,mpaka zinakuletea matatizo yote hayo,mbona mie nazinywa kistaarabu na sina hayo matatizo au ulikuwa unakuwa za kienyeji?

Soma post za nyuma utapata jibu!
 
Nakupongeza sana kwa kujitambua na kutambua hilo.
Unywaji wa pombe ni hdmbai kwa Ukristo na Uislam.
Na ndio maana mapadri ukiwauliza suala la Pombe wanakujibu moja kwa moja.

Mungu akusaidie kwa hilo,pia jitahidi sana kuwa mtu wa Ibada ili mungu akusamehe uliyoyafanya,wapo watakaokubeza maana wao Pombe ndi maisha yao.
Kufanikiwa na kutofanikiwa ni majaaliwa ya Mungu,ila hakuna amabe hajui kama Pombe imewapati wengi sana Gonjwa la Ukimwi kwa ngono mbovu,na wengine maradhi tele ikiwemo Sukari,Ini,figo nk.

Walevi sikuzote huwa wanamajonzi sana kuondokewa na Member mwenzao na hiyo ndio kazi ya Ibilisi.
Ubarikiwe

Ukristu hausemi pombe dhambi usichokijua piga kimya,
 
Yani nimejaribu kuacha kwa siku kumi tu; uzalendo umenishinda muda huu nipo hapa nagonga mambo.
 
Hahaaa.... !!
When we drink we get drunk,
when we get drunk we go strait to bed and sleep,
when we get asleep we donot commit sins,
when we dont commit sins we go to HEAVEN!
So, lets Drink and go to Heaven

Teh teh teh!
At least wewe umenishawishi!

Karibu Kinana bariiiid!!
 
Back
Top Bottom