miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
A drunk does not have the capacity to plan
That is stupidity of many people
A drunk does not have the capacity to plan
---- mlevi mmoja mbwa pale Mwenge baranara ya ITV anatamba kwamba ana zaidi ya miaka kumi hajanywa chai. Utamkuta asbh kwa mama ntilie akinywa viroba na chapati. Afya yake ni mgorogoro tupu
Ashukuliwe Mwenyezi kwa kutupa pumzi mpaka muda huu! Napenda niwashirikishe katika furaha na maisha mapya tangu nilipotoka kwenye Team gambe!
1: Nawai kuludi kwangu.
2: Pesa ninayoipata naitumia vizuri na kufanya vitu vyenye kuleta maendeleo.
3: Swala la hang over na kuzimua nimeshalisahau.
4: Ugomvi na mavulugu yote kwisha.
5: Maelewano na mama watoto yamekua kwa kiasi kikubwa.
6: Kuchoka choka nikiwa kazini kumekwisha.
na mengineyo meengi!
Wito wangu kwenu; Pombe ni adui wa maendeleo, ukitaka kuishi kwa mafanikio huna budi kuiacha.
ila unakosa mengi madili kwenye pombe...labda kama wewe si mtu wa dili
pesa unatafuta ili utumie...mie nakushauri uache kunywa chai/ supu asubuhi ili uongeze kipato chako...
pombe inasaidia kujiliwaza kama kwenda disco na kwingineko...usipokuwa makin msongo wa mawazo unakunyemelea...
Nasema kutokana na kapiriensi. pombe ni mbaya kwa ubongo. moyo
maini. figo hata utumbo. Pombe ni mbaya kijamii na ndio inayosababisha asilimia arobaini ya maovu duniani. Nenda vituo vya polisi muda wa saa nne usiku utakuta wengi wa wahalifu ni walevi. Familia nyingi huvunjika na kukosa upendo kisa pombe. Wanawake wengi wanachepuka kwa sababu waume zao wakilewa hawawezi kuwahudumia kindoa.
THE BEST TIME TO STOP DRINKING WAS YEARS BACK. THE NEXT BEST TIME TO STOP DRINKING IS TODAY
---- mlevi mmoja mbwa pale Mwenge baranara ya ITV anatamba kwamba ana zaidi ya miaka kumi hajanywa chai. Utamkuta asbh kwa mama ntilie akinywa viroba na chapati. Afya yake ni mgorogoro tupu
poor planing and management ndiyo adui wa maendeleo yako .. kama unabajeti ya hiyo sidhani kama maendeleo yatakimbia kisa pombe.... kama ni hivyo basi nahis chakula ndiyo adui mkubwa wa maendeleo...
Nakupongeza sana kwa kujitambua na kutambua hilo.
Unywaji wa pombe ni hdmbai kwa Ukristo na Uislam.
Na ndio maana mapadri ukiwauliza suala la Pombe wanakujibu moja kwa moja.
Mungu akusaidie kwa hilo,pia jitahidi sana kuwa mtu wa Ibada ili mungu akusamehe uliyoyafanya,wapo watakaokubeza maana wao Pombe ndi maisha yao.
Kufanikiwa na kutofanikiwa ni majaaliwa ya Mungu,ila hakuna amabe hajui kama Pombe imewapati wengi sana Gonjwa la Ukimwi kwa ngono mbovu,na wengine maradhi tele ikiwemo Sukari,Ini,figo nk.
Walevi sikuzote huwa wanamajonzi sana kuondokewa na Member mwenzao na hiyo ndio kazi ya Ibilisi.
Ubarikiwe
Uwezi kuishi bila kula hakika utakufa, je usipokunywa pombe utapoteza uhai?
eti baby Madame B niache pombe au niendelee ?
Pombe Mwanakharamu,pombe Ni Mkojo Wa FIRAUNI,AU SHWETAAAN IBLIS, Bora Umeacha Sasa,mi Mwaka Wa 4 Huu Na Mabadiliko Nayaona,wakat Naacha Wapo Walinibeza,tena Niweka Na Msimamo Simnunulii Mtu Pombe Hata Awe Nani, Huwa Nawauliza Wanaotaka Niwanunulie, Je Unaweza Kumwomba Muislam Akununulie Kitimoto?