Baada ya kuachana na matumizi ya pombe

Baada ya kuachana na matumizi ya pombe

Kila siku lazima nipate maji ya kunywa safi si chini ya lita 5 mkuu hiyo ndiyo siri na vitunguu swaumu natafuna sana

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Safi sana mkuu! Wakati wewe unaamka na maji safi wengine wanaamka na viroba!
 
sasa naona unataka tuhame kwenye pombe tuhamie kwenye mchepuko hizi ni mada mbili tofauti jamani usichanganye mambo na utamu wake ni tofauti na madhara yake ni tofauti na uzuri wake ni tofauti jamnai ..... mweeee tukutane pale nikupe ofa ya kisichana (konyagi)

Enzi zile ukinambia kischana pembeni unaweka kabia ka kilimanjaro kwa kuchanganyia au soda ila kwa sasa nakushauli iyo garama ya kischana ni bola utafute matunda uandae juisi kwaajili ya kujenga afya yako!
 
Hapo namba 4, kumbe ulikuwa unajijua wakati wa kupigana na watu eeeee? Au zikishakuisha kichwani ndio unahadithiwa kuwa jana ulizikunja?

Nilikua nakumbuka kila kitu ila pombe ikiisha kichwani ndo najilaumu maana unakuta ni mtu wa karibu!
 
Enzi zile ukinambia kischana pembeni unaweka kabia ka kilimanjaro kwa kuchanganyia au soda ila kwa sasa nakushauli iyo garama ya kischana ni bola utafute matunda uandae juisi kwaajili ya kujenga afya yako!

Afya inajenga na konyagi
 
Huwezi kuacha pombe moja kwa moja labda iwe ulipata tatizo kubwa la aibu ndipo unaweza kuacha.

lakini kwa kuamua ni kwamba umepumzika tu, baada ya muda mambo ni yale yale.

Au huenda ulikuwa ni muonjaji tu siyo mnywaji wa pombe
 
Huwezi kuacha pombe moja kwa moja labda iwe ulipata tatizo kubwa la aibu ndipo unaweza kuacha.

lakini kwa kuamua ni kwamba umepumzika tu, baada ya muda mambo ni yale yale.

Au huenda ulikuwa ni muonjaji tu siyo mnywaji wa pombe

Nilikua nikiagiza bia lazima niweke na kiroba kikubwa na bia yenyewe ni castle lager na nilikua nakunywa zakutosha tu!
 
Ashukuliwe Mwenyezi kwa
kutupa pumzi mpaka muda huu! Napenda niwashirikishe katika furaha na
maisha mapya tangu nilipotoka kwenye Team gambe!
1: Nawai kuludi kwangu.
2: Pesa ninayoipata naitumia vizuri na kufanya vitu vyenye kuleta
maendeleo.
3: Swala la hang over na kuzimua nimeshalisahau.
4: Ugomvi na mavulugu yote kwisha.
5: Maelewano na mama watoto yamekua kwa kiasi kikubwa.
6: Kuchoka choka nikiwa kazini kumekwisha.
na mengineyo meengi!
Wito wangu kwenu; Pombe ni adui wa maendeleo, ukitaka kuishi kwa
mafanikio huna budi kuiacha.

Karibu kwa Yesu ndugu, uungane pamoja nasi katika safari ya kwenda mbinguni tukaurithi uzima wa milele.
 
Karibu kwa Yesu ndugu, uungane pamoja nasi katika safari ya kwenda mbinguni tukaurithi uzima wa milele.

Nashukuru sana na nimekaribia kwa miguu miwili, ila jina lako kama lakiislamu mkuu au ulibadili dini!
 
Back
Top Bottom