Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
This is a good move. Najua serikali ya baraza la mapinduzi uliingizwa mkenge na kusapoti uamsho wakidhani wanatetea mamlaka huru ya visiwani wasijue kila mtu ana ajenda zake. msishangae kesho kusikia sultani wao aliyekwama ulaya akitangaza naye kuwa sehemu ya deal. alimtanguliza seif kwa kujua udhaifu wa ndugu zetu ambao baadaye watajuta.