Baada ya kikao na IGP Mwema, Dr. Slaa Alonga

watanzania tunahitaji vita dhidi ya polisi wetu! ili tuheshimiane kidogo.

Markj Mkuu vita na polisi ni vita na SSM. They are two sides of a coin!!! SSM ikiondoka na wao kwishney!!! Kwa kuwa wanapenda sana rushwa na kushirikiana na wahalifu basi kuwakamata ni rahisi na kufukuza kazi ili waajiriwe wengine. Na sheria ya ajira ya askari na jeshi iundwe kabisa ili kuwamaliza. Rais atakayechukua nchi tofauti na SSM nipo tayari kumpa mawazo ya kuondoa chawa!!!! Rudisha heshima ya Tanzania!!! Hivi hakuna watengenezaji wa dawa za kienyeji kama zile za kurudisha heshima nyumbani kwa upande wa kina baba ili nao watengeneze dawa ya kurejesha heshima ya Tanzania? Kina Dr. Tamba mpo?
 
Kwaiyo maisha ya jamaa yamepotea hivi hivi tu, alikua wapi kusubiri? Je anaona faida ya lolote na liwe? Kwakweli nimemzarau kabisa huyu mzee.

Hebu panga vizuri maelezo yako. Unayoyasema na uzoefu wetu na Slaa, haviendani kabisa! CDM wako makini sana na maelezo yao. Jipange upya.
 
Dah! Anyway, cjui bana but it doesn't sound good to me.....it's like hivi sasa CHADEMA wanasema; YES, they were wrong so, inabidi warudi kwenye mstari...!! Hii ni kama kuwasaliti witnesses waliosema pale Nyololo hapakuwa na mkutano wowote but ilikuwa ni kufungua matawi tu...!!! Kuwa firm, nilitarajia CHADEMA wangeendelea kukaza kwamba hawawezi kusitisha kitu ambacho hakikuwapo so, suala kama ni kufungua matawi wataendelea kama kawa simply because kufungua matawi ni tofauti na kufanya mikutano!

Mkuu sidhani kama hiyo perception yako ni sahihi; lakini nakubali kwamba mtoa taarifa ametoa fupi mno isiyoeleweka vizuri. Kwenye taarifa ni kwamba M4c imesitishwa mpaka sensa iishe. Sasa hii sidhani kama inauhusiano wowote na mauaji yaliyofanyika. In other words waliokuwa na ratiba fulani ya M4c wameambiwa imebadilika mpaka baada ya siku 3 ziishe za sensa. Na pia tumeambiwa wanajiandaa kuja na taarifa yao ya mauaji yaliyotokea.

However, regardless ya taarifa ya CDM sidhani kama kuna-kitakachobadilika vichwani vya watanzania- we all know what happened; picha zimejieleza vizuri. Hata ingekuwa huyo mwandishi alitukana matusi ya nguoni bado hakustahili kifo- main point is; Hakuwa na silaha yeyote just kamera. Kundi hilo la watu lilikuwa limeshafanikiwa kumuweka chini hakukuwa na haja ya kumlipua!!!

 
Markj Mkuu vita na polisi ni vita na SSM. They are two sides of a coin!!! SSM ikiondoka na wao kwishney!!! Kwa kuwa wanapenda sana rushwa na kushirikiana na wahalifu basi kuwakamata ni rahisi na kufukuza kazi ili waajiriwe wengine. Na sheria ya ajira ya askari na jeshi iundwe kabisa ili kuwamaliza. Rais atakayechukua nchi tofauti na SSM nipo tayari kumpa mawazo ya kuondoa chawa!!!! Rudisha heshima ya Tanzania!!! Hivi hakuna watengenezaji wa dawa za kienyeji kama zile za kurudisha heshima nyumbani kwa upande wa kina baba ili nao watengeneze dawa ya kurejesha heshima ya Tanzania? Kina Dr. Tamba mpo?

tatizo tusipopigana nao sasa ivi tukawapunguza nguvu na idadi, hawa watatuulia wasimamizi wa uchaguzi na waandishi wengi wakati wa uchaguzi, n.k! mtiti uanze sasa dhidi yao hawa jamaa, tukiwaacha hawa hata iyo mabadiliko 2015 itakuwa ngumu mana watakuwa kama mbwa wamefunguliwa sasa!
 
arusha walifakufa watu, morogoro ally zoka, iringa mwandishi wa habari. Kwingne wap?
 
tatizo tusipopigana nao sasa ivi tukawapunguza nguvu na idadi, hawa watatuulia wasimamizi wa uchaguzi na waandishi wengi wakati wa uchaguzi, n.k! mtiti uanze sasa dhidi yao hawa jamaa, tukiwaacha hawa hata iyo mabadiliko 2015 itakuwa ngumu mana watakuwa kama mbwa wamefunguliwa sasa!

Kazi kwa wale wanaokunywa nao bia/gongo!!!!!
 
Mtakaohudhuria maandamano muwe makini jama.jitahidi usiwe frontline.mambo hubadilika ghafla sana na pasipo kutarajia.watchout and be carefull
 
Kazi kwa wale wanaokunywa nao bia/gongo!!!!!

unajua hawa polisi wengine wao wanaona raha ila hawajui kinachokuja kuwageukia, mana wenzao wakubwa wakina rpc wanatembelea ma v8 na wanasecurity flani, sasa wao tunaopanda nao mabasi na kupita nao vichochoroni, kwenye maskani za angi huwa tuko nao na za gongo! haya mungu ndo anajua kinachofwata kwenye hii nchi
 
Mtakaohudhuria maandamano muwe makini jama.jitahidi usiwe frontline.mambo hubadilika ghafla sana na pasipo kutarajia.watchout and be carefull

sasa hata wote mkiamuwa kuwa backline, ni lazima frontline ijitokeze tu mkuu
 
Lazima watanzania tuelewe ukombozi wetu hautatokana na CDM au CCM. Ukombozi wetu utatokana na sisi wenyewe. Polisi wameua mwandishi wa habari ambaye si CDM wala CCM. Waandishi wa habari wako wapi na wana-msimamo gani? Kikao kilikuwa cha CDM na polisi na wala hakukuwa na mwakilishi wa marehemu. At the same point hatujui kikao kilikuwa kinahusu haya mauaji moja kwa maoja au vipi lakini kwa vyovyote vile CDM lazima wachukue hatua ambazo hawataonekana wao kama chama wanahamasisha vurugu. Pamoja na hayo sioni ni kwanini Dr. Slaa alikakaa kikao na hawa majambazi. However, naelewa yeye ana-represent grp yake -CDM na anawajibika kutoa info kutokana na taratibu zao walizojiwekea e.g. kufanya independent uchunguzi etc etc.
Watanzania hata tulioelimika tunashindwa kuona kwamba, haki zetu hakuna anayeweza kuzitetea bila sisi wenyewe kuamka. Ni rahisi sana kuwalalamikia viongozi wa vyama vya siasa kwasababu; ndio tunachopenda watanzania -blame game. Dr. Slaa amekwenda kwenye kikao kama mwakilishi wa CDM; je waandishi wa habari na watanzania wasio na vyama wamechukuliaje huu ukatili na wanamaamuzi gani? Personally, naona tukiingiza siasa kwenye hii issue tunakosea sana. Huyu mwandishi ameuwawa akiwa kazini, yule wa Morogoro naye ameuawa alikuwa muuza magazeti; Ulimboka yamemkosakosa akiwa kazini (whether una-agree kwenye mgomo or not waliomtesa walijichukulia sheria mikononi). Sasa je hii yakujichukulia maamuzi mikononi ndio mtindo wa sasa? Je wananchi tunakubaliana na hii mess? Wanasiasa wanahaki yaku-react wanavyotaka wao lakini mimi na wewe tunamajukumu mazito yakuhakikisha askari hawa hawaui mtu mwingine asiye na hatia. Ivi haki zako wewe na mimi ziko mfukoni wa mwanasiasa au kiongozi fulani? Haya ndio mambo ya Ulimboka na kumlalamikia Hellen Kijo Bisimba kwakutofanya a b and c. Mimi na wewe tuko wapi na tuna msimamo gani? Mpaka itokee close to home labda ndio tutapata akili.

Mkuu nimeyakubali sana màndishi yako, ni kama vile ulikuwa mawazoni mwangu tuachane kabisa na hili la kulalama hasa kwenye key pads zetu kila mmojahapo alipo anaweza kutenda jambo fulani kuleta mapinduzi hii ya kulia lia na kutemea watu wachache watuletee neema ni kuwatwikla mzigo ambao hata sisi hatutaki kùbeba au hata kuugusa, ni vema kikla mtu hapo alipo kadri ya uwezo wake ajikomboe then hizi movements zitachagiza pale ambapo tayari tumeanza.
 
Sasa Dr.Slaa, kumbe kelele za bure kwa nini sasa toka mwanzo usikubali mpaka mtu kapoteza maisha ndio umekubali siasa bana....Mkuu chama ebu njoo uone kituko.
 
Last edited by a moderator:
Asema baada ya mazungumzo na IGP wamekubali kusitisha mikutano yao ya M4C kwa muda wa siku 3, ili kupisha zoezi la sensa kukamilika kutokana na muda ulioongezwa,

Sasa wangekubali mapema yote hayo yangetokea???
 
Kwaiyo maisha ya jamaa yamepotea hivi hivi tu, alikua wapi kusubiri? Je anaona faida ya lolote na liwe? Kwakweli nimemzarau kabisa huyu mzee.

Hata ukimdharau haitasaidia wakati watu wenye upeo mkubwa wanamheshimu,anza kumdharau yule aliyekimbia mdahalo 2010 na polisi wanaojichanganya,mara kufungua matawi ruksa mara si ruksa,ni mtu mwenye upeo mdogo ndio anakua na maamuzi kama haya!kwa hiyo waliomuua Mwangosi ni Slaa au polisi?
 
Nikiwa kama mwanachama mtarajiwa wa CDM. Naunga hoja ya kusitisha mikutano.

Kwanza unapomlaumu Dr Slaa kwa kutozungumzia kifo cha mwandishi mnakosea. Hakuna anayejua mwandishi alikua chama gani.

Pili polisi ni chombo cha dola, hivyo ni vizuri kukiheshimu pamoja na mapungufu yake.

Tatu CDM sio chama cha vurugu. Lazima busara itumike hata kama mnataka mabadiliko.
 
sasa wangesitisha mikutano tangu mwanzo yote haya yangetoka wapi?
Polisi walikosea lakini na cdm nao walikosea kwa kukaidi amri ya polisi.
Hii nchi ni yetu sote, ubabe hauto tunufaisha bali utaleta madhara zaidi.
 
Asema baada ya mazungumzo na IGP wamekubali kusitisha mikutano yao ya M4C kwa muda wa siku 3, ili kupisha zoezi la sensa kukamilika kutokana na muda ulioongezwa,

unapotoa taarifa toa taarifa za kweli,epuka kumuwekea mtu maneno.
Mf.taarifa uliyotoa si jinsi ilivyo,sinauhaki kama amesitisha M4C kwa sababu ulizotoa.
Note;anayepaswa kuripoti taarifa ya Dr najua ni makene kwani ndiyo department yake.

Kuna watu wanalaana hapa,midomo yao yao haina meter ya Luku.
 
Sasa Dr.Slaa, kumbe kelele za bure kwa nini sasa toka mwanzo usikubali mpaka mtu kapoteza maisha ndio umekubali siasa bana....Mkuu chama ebu njoo uone kituko.

unfortunately kwa hili Slaa atakua ahajtenda haki, unless tusikie tamko zima
 
Kama ataishia kueleza kuwa anasitisha mikutano tu, basi ategemee kuambiwa kuwa CDM ndiyo iliyosababisha kutokea mauaji baada ya kukaidi kusitisha mikutano yake ili kupisha sensa. Inatakiwa aonyeshe vielelezo kuwa walikuwa na uhalai wa mkutano ule uliozuiliwa kimabavu na kusababisha kifo. Hawa jamaa si wakuwaamini tena, maana majibu yao tangu Dr.Ulimboka saga, kifo cha Ally Zoka wa Morogoro na sasa tutarajie taarifa ya kuichanganya umma na kupoteza ushahidi kwa polisi kuhusika licha ya mauaji hayo kuonekana waziwazi pamoja na kuwepo vielelezo vilivyokuwepo.

Kikatiba, Mtu yoyote, taasisi au chama chochote kinayo haki ya kuandamana bila kumuomba mtu yeyote idhini ya kuandamani, ila tu lazima utoe taarifa kwa vyombo vya usalama ili waweze kukulinda na si kuomba kibali kibali.
 
Ebu kwa mfano unashughulika na mama watoto wako!!! ghafla chaga zinateuka mnakwenda chini!! Je utaendelea kushughulika na hiyo kazi au utaacha kwanza urekebishe kitanda???

Mwandishi kauwawa!! we unahoji kwanini wanasitisha eti!!! kwa nini hawakusitisha kabla! hii ni akili au Bange??
Dk hapa katumia busara tu!ili isimfanye marehemu kana kwamba alikuwa akifanya kazi ya cdm!! alitakiwa kusema tunasitisha M4C kwa sababu ya msiba wa mwandishi wetu!!
Nimeogopa hilo Jina tuu sijui linatokea wapi...... ?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom