Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
watanzania tunahitaji vita dhidi ya polisi wetu! ili tuheshimiane kidogo.
Markj Mkuu vita na polisi ni vita na SSM. They are two sides of a coin!!! SSM ikiondoka na wao kwishney!!! Kwa kuwa wanapenda sana rushwa na kushirikiana na wahalifu basi kuwakamata ni rahisi na kufukuza kazi ili waajiriwe wengine. Na sheria ya ajira ya askari na jeshi iundwe kabisa ili kuwamaliza. Rais atakayechukua nchi tofauti na SSM nipo tayari kumpa mawazo ya kuondoa chawa!!!! Rudisha heshima ya Tanzania!!! Hivi hakuna watengenezaji wa dawa za kienyeji kama zile za kurudisha heshima nyumbani kwa upande wa kina baba ili nao watengeneze dawa ya kurejesha heshima ya Tanzania? Kina Dr. Tamba mpo?