COURTESY
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 2,006
- 706
Kwaiyo maisha ya jamaa yamepotea hivi hivi tu, alikua wapi kusubiri? Je anaona faida ya lolote na liwe? Kwakweli nimemzarau kabisa huyu mzee.
poor mind,mnatia aibu humu!!
Kwaiyo maisha ya jamaa yamepotea hivi hivi tu, alikua wapi kusubiri? Je anaona faida ya lolote na liwe? Kwakweli nimemzarau kabisa huyu mzee.
Mie haya niliyajua tu baada yakusema kuwa kuna kikao kati yao. Sasa kwa nn asinge sitisha hivyo tangia mwanzo nakuepusha kifo cha mwandishi? Slaa ni janga la kitaifa
Asema baada ya mazungumzo na IGP wamekubali kusitisha mikutano yao ya M4C kwa muda wa siku 3, ili kupisha zoezi la sensa kukamilika kutokana na muda ulioongezwa,
Kwaiyo maisha ya jamaa yamepotea hivi hivi tu, alikua wapi kusubiri? Je anaona faida ya lolote na liwe? Kwakweli nimemzarau kabisa huyu mzee.
Izarau serikali yako ya CCM na Polisi waliofanya mauaji hayo na sio Dr.SlaaKwaiyo maisha ya jamaa yamepotea hivi hivi tu, alikua wapi kusubiri? Je anaona faida ya lolote na liwe? Kwakweli nimemzarau kabisa huyu mzee.
sasa wangesitisha mikutano tangu mwanzo yote haya yangetoka wapi?
Polisi walikosea lakini na cdm nao walikosea kwa kukaidi amri ya polisi.
Hii nchi ni yetu sote, ubabe hauto tunufaisha bali utaleta madhara zaidi.
sasa wangesitisha mikutano tangu mwanzo yote haya yangetoka wapi?
Polisi walikosea lakini na cdm nao walikosea kwa kukaidi amri ya polisi.
Hii nchi ni yetu sote, ubabe hauto tunufaisha bali utaleta madhara zaidi.
Hawa Chadema nao mara nyingine kama wanajichanganya hivi. Mara maandamano yanaendelea mara yanasitishwa. Kuweni na msimamo nyie.