Mie haya niliyajua tu baada yakusema kuwa kuna kikao kati yao. Sasa kwa nn asinge sitisha hivyo tangia mwanzo nakuepusha kifo cha mwandishi? Slaa ni janga la kitaifa
Uliyajua, we sangoma nini? au wewe ndo unawaambia ccm waue ndo watafanikiwa kuretain chama chao madarakani.
Hili la kuendelea na maandamano na mikutano kwa sasa si busara kwani kuna kilio, angalau hata siku3 za kuhani, naamini umeelewa na wengine pia wameelewa. Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.